• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 7:55 PM

Mvamizi Ferran Torres ajiunga na Barcelona

Na MASHIRIKA FOWADI raia wa Uhispania, Ferran Torres ameagana rasmi na Manchester City na kujiunga na Barcelona kwa mkataba...

Uhispania wakomesha rekodi ya kutopigwa kwa Italia katika mechi 37 na kufuzu kwa fainali ya UEFA Nations League

Na MASHIRIKA REKODI ya dunia ya Italia ya kutoshindwa katika mechi 37 ilipigwa breki kali na Uhispania waliowatandika 2-1 mnamo Jumatano...

Uhispania waingia robo-fainali za Euro baada ya kuangusha Croatia katika muda wa ziada

Na MASHIRIKA UHISPANIA walitinga robo-fainali za Euro mnamo Jumatatu usiku baada ya kudengua Croatia kwenye hatua ya 16-bora kwa mabao...

DIMBA: Kijana Ferran Torres anawindwa kama mpira wa kona!

Na GEOFFREY ANENE KINDA Ferran Torres ni mchezaji wa klabu ya Valencia nchini Uhispania anayeng’ang’aniwa kama mpira wa kona na...