Tag: Fred Matiang’i
- by T L
- May 7th, 2022
Matiang’i aonya wanasiasa wenye ndimi za moto
NA WYCLIFFE NYABERI WAZIRI wa Usalama wa Ndani Dkt Fred Matiang'i amesema serikali haitamsaza mwanasiasa yeyote atakayewachochea Wakenya...
- by T L
- January 25th, 2022
Matiang’i apuuza kilio cha Naibu Rais
Na CHARLES WASONGA WAZIRI wa Usalama Fred Matiang’i amepuuzilia madai ya Naibu Rais William Ruto kwamba polisi wamefeli kukomesha...
- by T L
- January 16th, 2022
Tutasaidia IEBC kuendesha uchaguzi huru na haki – Matiang’i
Na WYCLIFFE NYABERI WAZIRI wa Usalama wa Ndani, Dkt Fred Matiang'i, amesema serikali itasaidia Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC),...
- by T L
- November 16th, 2021
Matiang’i aweka mikakati kuzima visa vya wafungwa kutoroka jela
Na CHARLES WASONGA ASKARI jela saba wa gereza la Kamiti wamakamatwa kufuatia kisa ambapo wafungwa watatu walitoroka kutoka gereza hilo...
- by T L
- November 5th, 2021
Wahalifu mtandaoni kuchukuliwa hatua – Matiang’i
Na WINNIE ONYANDO WALE watakaoeneza habari za uongo na zinazochochea chuki mtandaoni sasa wataadhibiwa vikali. Hii ni baada ya...
- by T L
- November 2nd, 2021
Matiang’i ajibu madai ya wandani wa Dkt Ruto kuhusu maandalizi ya uchaguzi
Na CHARLES WASONGA WAZIRI wa Usalama Fred Matiang’i amejitetea dhidi ya madai ya wandani wa Naibu Rais William Ruto kwamba yeye na...
- by T L
- October 25th, 2021
Matiang’i atisha kufunga vyombo vya habari vinavyotumika kueneza chuki
Na ERIC MATARA SERIKALI imetishia kuvifunga vyombo vya habari vinavyotumika kueneza chuki huku kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9,...
- by T L
- October 23rd, 2021
Matiang’i atangaza ataunga Raila 2022
Na WYCLIFFE NYABERI WAZIRI wa Usalama wa Kitaifa, Fred Matiang’i jana Ijumaa aliashiria kuwa Rais Uhuru Kenyatta anaunga mkono kinara...
Matiang’i chini ya ulinzi mkali
Na STEVE NJUGUNA WAZIRI wa Usalama, Dkt Fred Matiang’i alishuhudia madhila yanayowakumba wakazi wa eneo la Ol Moran, majangili...
Mshirika wa Ruto ni mhalifu, asema waziri Matiang’i
Na CHARLES WASONGA HATIMAYE serikali imetoa taarifa kuhusu kufurushwa kwa Mturuki ambaye ni mshirika wa Naibu Rais William Ruto, Harun...
Serikali yaendelea kuibua madai dhidi ya Harun Aydin
Na SAMMY WAWERU WAZIRI wa Usalama wa Ndani Dkt Fred Mating’i amepuuzilia mbali madai kuwa serikali ya Kenya imeomba msamaha Uturuki...
Waziri atangaza Sikukuu Jumanne Waislamu wakiadhimisha Idd-ul-Adha
Na MARY WANGARI WAISLAMU watasherehekea Sikukuu ya Idd-ul-Adha Jumanne baada ya Waziri wa Usalama wa Ndani, Dkt Fred Matiang’i...