Tag: jopo
Majopo 15 yaliyoundwa na Rais yavunjwa na mahakama
Na RICHARD MUNGUTI MAJOPO 15 ambayo wanachama wake waliteuliwa na Rais Uhuru Kenyatta na mawaziri mbalimbali yatafutiliwa mbali kufuatia...
- by adminleo
- May 31st, 2018
Kalonzo, Mudavadi na Weta wapinga kubuniwa kwa jopo la kuzima ufisadi
Na VALENTINE OBARA VINARA watatu wa Muungano wa NASA wamejitenga na msimamo wa mwenzao Raila Odinga, kuhusu vita dhidi ya...
- by adminleo
- May 1st, 2018
MUAFAKA: Orodha ya Uhuru na Raila yapingwa vikali
Na WAANDISHI WETU UAMUZI wa Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa upinzani, Bw Raila Odinga kuteua jopokazi la watu 14 kuwashauri kuhusu...
- by adminleo
- April 22nd, 2018
Jopo maalum kuundwa kufanikisha muafaka wa Uhuru na Raila
Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa chama cha ODM Raila amesema yeye pamoja na Rais Uhuru Kenyatta watabuniwa jopo maalum litakalowashauri...
- by adminleo
- March 2nd, 2018
Tobiko aunda jopokazi la kulinda misitu
Na BERNARDINE MUTANU WAZIRI wa Mazingira Keriako Tobiko ameunda jopokazi la kusimamia misitu nchini. Miongoni mwa wanakamati wa jopo hilo...