Tag: kanu
- by T L
- October 19th, 2021
Kanu yaimarisha kampeni mashinani
ERIC MATARA na BARNABAS BII WIKI mbili baada ya wajumbe wa Kanu kumwidhinisha kwa pamoja Seneta wa Baringo Gideon Moi kuwania urais...
Tumejifunza kutokana na makosa yetu ya zamani , KANU Fresh yasema
Na CHARLES WASONGA WAJUMBE wa chama cha Kanu wamemteua rasmi mwenyekiti wao Gideon Moi kuwania urais katika uchaguzi mkuu...
KANU yamteua Gideon Moi kuwania urais 2022
Na SAMMY WAWERU KIONGOZI wa chama cha KANU Bw Gideon Moi ameteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho kuwania kiti cha urais katika...
Pigo kwa OKA Kanu ikisema haitaacha kuunga Jubilee
Na JUSTUS OCHIENG Mipango wa kuhalalisha muungano One Kenya Alliance (OKA) ulipata pigo baada ya chama cha Kanu kusema hakina mipango ya...
- by adminleo
- June 28th, 2020
Serikali ya nusu mkate yaiva
Na SAMWEL OWINO VYAMA vilivyotia saini mkataba wa ushirikiano na Chama cha Jubilee vimeanza kung'ang'ania usimamizi wa kamati kadhaa za...
- by adminleo
- May 10th, 2020
Muungano wa Jubilee na Kanu unalenga kumwondoa Murkomen katika wadhifa wake?
Na CHARLES WASONGA DURU zinasema huenda mkutano wa maseneta wa Jubilee ambao Rais Uhuru Kenyatta ameitisha katika Ikulu ya Nairobi...
- by adminleo
- March 14th, 2020
‘Hii ndiyo dhamira ya Waititu kuingia Kanu’
MERCY KOSKEY na CHARLES WASONGA ALIYEKUWA Gavana wa Kiambu, Bw Ferdinand Waititu Babayao sasa yuko mbioni kujinusuru kisiasa kwa...
- by adminleo
- February 12th, 2020
Ni mavazi ya KANU pekee yataruhusiwa kwa mazishi ya Moi – Serikali
Na CHARLES WASONGA WAKENYA wameonywa dhidi ya kuvalia mavazi yenye rangi za vyama vya kisiasa watakapohudhuria hafla ya mazishi ya...
- by adminleo
- October 2nd, 2019
Kanu yamsamehe mbunge anayempigia debe Ruto
BARNABAS BII na STANLEY KIMUGE CHAMA cha Kanu hakitamwadhibu Mbunge wa Emurua-Dikirr, Bw Johana Ng’eno licha ya kuenda kinyume na...
- by adminleo
- June 16th, 2019
KANU kujifufua kwa kufungua matawi mapya kote nchini
STANLEY KIMUGE na WYCLIFF KIPSANG CHAMA cha KANU kimetangaza kwamba kitafungua afisi zake katika kaunti zote nchini inapopanga karata...
- by adminleo
- March 10th, 2019
KANU yaanza kupenya Mlima Kenya kumzima Ruto
NA JOSEPH WANGUI CHAMA cha KANU kimeanza rasmi mchakato wa usajili wa maajenti 10,000 katika kaunti 10 za ukanda wa Mlima Kenya...
- by adminleo
- February 4th, 2019
KANU yasifu agizo la Rais kukomesha siasa za 2022
Na Stephen Munyiri CHAMA cha KANU, tawi la Kaunti ya Nyeri kimemsifu Rais Uhuru Kenyatta kwa kuwasuta viongozi wanaoendeleza kampeni za...