Tag: kidero
- by adminleo
- July 15th, 2019
DPP aruhusiwa kuwasilisha ushahidi dhidi ya Kidero
Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Jumatatu aliruhusiwa na mahakama ya kuamua kesi za ufisadi awasilishe ushahidi...
- by adminleo
- November 7th, 2018
EACC yaagizwa kumrudishia Kidero mali yake ndani ya saa 72
Na MAUREEN KAKAH TUME ya Maadili na Kukabiliana na ufisadi (EACC), Jumanne ilipata pigo baada ya Mahakama Kuu kuiagiza iachilie mali...
- by adminleo
- November 1st, 2018
EACC yazimwa kupekuapekua maisha ya Kidero
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA kuu Alhamisi iliamuru tume ya kupambana na ufisadi nchini isipekuepekue makazi ya aliyekuwa Gavana wa...
- by adminleo
- October 4th, 2018
Kidero apinga kushtakiwa upya
Na RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Gavana wa Kaunti ya Nairobi Dkt Evans Kidero Alhamisi aliomba mahakama kuu ifutilie mbali hatua ya...
- by adminleo
- August 23rd, 2018
EACC yaagizwa impe Kidero nakala za ushahidi
Na RICHARD MUNGUTI HAKIMU mwandamizi Bw Lawrence Mugambi Jumatano aliamuru Tume ya Kupambana na Ufisadi nchini (EACC) impe aliyekuwa...
- by adminleo
- August 8th, 2018
Kidero kufikishwa mahakamani kwa ufisadi
Na VALENTINE OBARA ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi, Dkt Evans Kidero, anatarajiwa kufikishwa mahakamani Alhamisi kushtakiwa kwa...
- by adminleo
- May 6th, 2018
Nimeishiwa na ladha ya ugavana, asema Kidero
Na BARACK ODUOR ALIYEKUWA gavana wa Nairobi, Evans Kidero, amekanusha madai kwamba anapanga kugombea kiti cha ugavana kaunti ya Homa Bay...
- by adminleo
- February 26th, 2018
Tetesi Kidero atawania ugavana Homa Bay baada ya ushindi wa Awiti kufutwa
[caption id="attachment_2127" align="aligncenter" width="800"] Aliyekuwa gavana wa Nairobi Dkt Evans Kidero. Picha/...