Tag: kisu
Polisi ashtakiwa kwa kumjeruhi mwenzake
Na RICHARD MUNGUTI AFISA wa polisi ameshtakiwa kwa kumdunga kisu na kumpa majeraha ya kudumu afisa mwenzake waliyezozania mwanamke huku...
Ashtakiwa kumdunga mumewe kisu tumboni
Na Richard Munguti Mwanamke mwenye umri wa miaka 22 alikana shtaka la kumdunga mumewe kisu tumboni matumbo yakatoke. Ebby Khalea...
- by adminleo
- June 6th, 2020
Amdunga kisu mumewe mara 11 wakizozania kuosha vyombo
NA Joseph Wangui Mwanamke mmoja aliyemuua mpeziwe wakibishana nani atakayeosha vyombo baada ya chakula cha jioni amekatazwa ddhamana...
- by adminleo
- February 7th, 2020
Mwanamke aliyejeruhi wanawe kwa kisu ana akili timamu – ripoti
NA BRENDA AWUOR MWANAMKE aliyedunga watoto wake wanne kwa kisu cha nyumbani ataendelea kuzuiliwa Kodiaga, baada ya ripoti kutoka...
- by adminleo
- January 9th, 2020
Amsamehe aliyemdunga kisu
Na STEVE NJUGUNA POLISI ambaye alidungwa kisu na mpenzi wake mnamo Jumapili kutokana na mzozo wa kinyumbani, sasa anataka mashtaka dhidi...
- by adminleo
- October 21st, 2019
Mvuvi auawa na mkewe
Na RICHARD MUNGUTI MVUVI aliuawa na mkewe wakati wa sikukuu ya Mashujaa alipodugwa kisu katika eneo la Kasarani mjini Naivasha baada ya...
- by adminleo
- May 23rd, 2019
Mwanamke amuua mwizi aliyejaribu kumbaka
Na NICHOLAS KOMU Mwanamke mmoja Alhamisi alimuua kwa kumdunga kisu mwanamume aliyevunja na kuingia katika kioski chake katika mtaa wa...
- by adminleo
- March 21st, 2019
Akatwa uume baada ya kufumaniwa akimumunya mke wa mtu
Na PETER MBURU MWANAMUME 'fisi' kutoka mtaa wa Majengo, Tunduma, eneo la Songwe nchini Tanzania anapokea matibabu hospitalini, baada ya...
- by adminleo
- February 27th, 2019
Aliyedungwa kisu atoka hospitalini kikiwa mwilini kutafuta sigara
MASHIRIKA na PETER MBURU KAZAN, RUSSIA MWANAMUME aliyekuwa amedungwa kisu mgongoni na aliyekuwa akielekea kufa alishangaza wahudumu wa...
- by adminleo
- February 19th, 2019
Wauguzi watishia kuhama baada ya wenzao kudungwa visu Mama Lucy
NA AGGREY OMBOKI MUUNGANO wa Kitaifa wa Wauguzi Nchini(KNUN) tawi la Nairobi umetishia kuwaongoza wanachama wake kushiriki mgomo baada...
- by adminleo
- February 11th, 2018
Fujo chuoni baada ya mwanafunzi kuuawa
[caption id="attachment_1210" align="aligncenter" width="800"] Jengo la klabu ya Dalawa mjini Bondo ambalo lilichomwa na wanafunzi wa...