Tag: kwale
- by T L
- January 29th, 2022
Wizara kufunza wakazi kilimo cha kibiashara
Na WINNIE ATIENO WIZARA ya Kilimo imewaahidi wakulima katika Kaunti ya Kwale kwamba watapewa mafunzo ya kilimobiashara ili waweze...
- by T L
- December 2nd, 2021
Wageni Pwani waonywa kuwa makini baharini
Na KNA WAGENI ambao wananuia kuzuru maeneo ya Pwani wakati wa shamrashamra za kufunga mwaka, wameshauriwa kuwa waangalifu hasa...
- by T L
- November 7th, 2021
Mwamko mpya wanawake Pwani wakilenga ugavana
Na PHILIP MUYANGA KUONGEZEKA kwa idadi ya wanawake katika kinyang’anyiro cha ugavana eneo la Pwani kunaonyesha mabadiliko makubwa ya...
Kilio familia 89 Kwale zikihofia kufurushwa
Na SIAGO CECE FAMILIA 89 katika kisiwa cha Wasini, Kaunti ya Kwale, zinahofia kufurushwa makwao, baada ya mwekezaji wa kibinafsi kuanza...
Mwashetani aachia Achani tikiti ya ugavana
Na SIAGO CECE AZIMIO la Naibu Gavana wa Kwale, Bi Fatuma Achani, kuwania ugavana mwaka 2022 limepigwa jeki baada ya Mbunge wa...
Mtihani manaibu 3 wakiendea ugavana
MAUREEN ONGALA na VALENTINE OBARA MANAIBU gavana wa kaunti tatu za Pwani wanatarajiwa kukabiliana na mibabe wa kisiasa mwaka ujao katika...
Ujenzi wa bandari Kwale kuendelea
NA WINNIE ATIENO UJENZI wa bandari mpya eneo la Shimoni kaunti ya Kwale inayokadiriwa kugharimu Sh20 bilioni unaweza kuendelea bila...
Familia 28,000 kupokea msaada wa chakula kutoka Base Titanium na serikali ya Mvurya
Na MISHI GONGO ZAIDI ya familia 28,000 zisizojiweza kutoka eneo la Kinango, Kaunti ya Kwale zimepangiwa kupokea chakula cha msaada...
- by adminleo
- July 31st, 2020
Mama afariki na mwanawe baada ya kukanyaga waya wa umeme Kwale
FADHILI FREDRICK na DIANA MUTHEU MAMA na mtoto wake aliyekuwa na umri wa miezi mitatu wamekumbana na kifo baada ya kukanyaga waya wa...
- by adminleo
- July 24th, 2020
Maafisa wachunguza visa vya mauaji ya wazee Kwale
Na MISHI GONGO IDARA ya usalama Kaunti ya Kwale inachunguza visa vya mauaji ya wazee watatu waliouawa katika hali ya kutatanisha ndani...
- by adminleo
- July 1st, 2020
Maafisa wafuatilia visa vya dhuluma za kingono Kwale
Na MISHI GONGO MAAFISA wa serikali wameanza kufuatilia visa vya dhuluma za kingono ambavyo haviripotiwi katika eneo la Mivumoni,...
- by adminleo
- June 8th, 2020
Gavana Mvurya aamuru masoko yafunguliwe Kwale japo kwa masharti
Na WINNIE ATIENO GAVANA Salim Mvurya ameanza kufungua uchumi wa Kwale baada ya kuidhinisha kufunguliwa kwa masoko katika kaunti...