Tag: Mji wa Kale
- by adminleo
- July 2nd, 2020
Kaunti yawatengea wavuvi mamilioni
Na WAANDISHI WETU WAVUVI katika Kaunti ya Mombasa wanatarajia kuvuna pakubwa kwani serikali ya kaunti imetenga Sh250 milioni kuboresha...
- by adminleo
- May 23rd, 2020
KURUNZI YA PWANI: Elungata aelezea Wapwani haja ya kushirikiana na maafisa maeneo mpakani yasalie salama
Na WINNIE ATIENO MSHIRIKISHI wa eneo la Pwani Bw John Elungata na afisa wa uhamiaji Bi Jane Nyandoro wamewaonya wakazi wanaoishi...
- by adminleo
- May 20th, 2020
Nairobi yaongoza maambukizi, Mombasa kwa vifo
Na JUMA NAMLOLA KAUNTI ya Nairobi inaongoza kwa idadi ya maambukizi ya virusi vya corona huku Mombasa ikiongoza kwa watu walioaga dunia...
- by adminleo
- May 11th, 2020
MJI WA KALE: Serikali yaruhusu shughuli za wafanyabiashara katika bandari ya zamani
Na WINNIE ATIENO AFUENI kwa wafanyabiashara wanaotegemea bandari ya zamani maarufu Old Port iliyoko Mji wa Kale - Old Town - baada ya...
- by adminleo
- May 10th, 2020
Uchuuzi marufuku katika mitaa iliyofungwa
VALENTINE OBARA na WACHIRA MWANGI SERIKALI imezidisha masharti kwa wakazi wa mitaa ya Old Town mjini Mombasa, na Eastleigh katika Kaunti...
- by adminleo
- May 10th, 2020
Matiang’i azuru Eastleigh kuwatuliza wakazi
Na CHARLES WASONGA SERIKALI imekanusha madai kuwa amri kufungwa kwa mtaa wa Eastleigh ilitolewa kwa nia ya kuwaadhibu...
- by adminleo
- May 7th, 2020
Baadhi ya wakazi washutumu hatua ya serikali kuufunga Mji wa Kale
Na MISHI GONGO WAKAZI mjini Mombasa wameshutumu serikali kwa kufunga Mji wa Kale, wakiitaja hatua hiyo kuwa kandamizi na kwamba...
- by adminleo
- May 2nd, 2020
Gavana wa Mombasa atishia kuweka ‘lockdown’ Mji wa Kale
MISHI GONGO na WINNIE ATIENO HUKU maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 yakiendelea kuongezeka katika Mji wa Kale, Kaunti ya Mombasa, gavana...