Tag: moto
- by T L
- December 5th, 2021
Mioto shuleni: Rai wizara ibuni kamati maalum
Na FAITH NYAMAI CHAMA cha Wazimamoto Kenya (KNFBA) kimetoa wito kwa Wizara ya Elimu kuunda kamati za kupunguza visa vya moto...
- by T L
- December 2nd, 2021
Mlipuko usiku waibua hofu kijijini Lamu
Na KALUME KAZUNGU TAHARUKI imetanda katika kijiji cha Kiunga kilicho mpakani mwa Lamu na Somalia, baada ya mlipuko mkubwa kutokea usiku...
- by T L
- October 25th, 2021
WANTO WARUI: Serikali isaidie kutafuta suluhu kwa visa vya moto shuleni
NA WANTO WARUI WASIWASI umezuka kwa wazazi na walimu wa shule za sekondari kutokana na visa vingi vya moto shuleni ambavyo vinaendelea...
Polisi waanza kufanya uchunguzi baada ya moto kuchoma magari kwenye gereji
Na SAMMY KIMATU MAGARI 13 yakiwemo ya kifahari yaliteketea katika gereji moja eneo la Cereal Board mkabala wa barabara ya Lunga Lunga,...
Familia zaidi ya 50 zapoteza nyumba zao kwenye mkasa wa moto
Na SAMMY KIMATU MALI yenye thamani ya mamilioni ya pesa iliteketea usiku wa kuamkia Jumatatu katika kisa cha moto kwenye mtaa mmoja wa...
Kibicho: Tutaweka kamera za siri Gikomba kudhibiti mikasa ya moto
Na SAMMY WAWERU KATIBU katika Wizara ya Usalama wa Ndani Dkt Karanja Kibicho amesema serikali inalenga kupata suluhu ya kudumu kudhibiti...
Wazimamoto wafaidika kwa mafunzo ya kisasa
Na KENYA NEWS AGENCY KIKOSI cha Kukabili Mioto cha Jimbo la Minnesota, Amerika, kimeanza kutoa mafunzo maalum kwa wazimamoto katika...
Wawili wafariki mamia wakikesha nje baada ya nyumba kuteketea Mukuru
Na SAMMY KIMATU WATU wawili wamefariki katika kisa cha moto huku mtu wa tatu akiuguza majeraha katika hospitali nazo familia 131...
Familia 50 zaumizwa na baridi kali baada ya nyumba zao kuteketea Mukuru-Kayaba
Na SAMMY KIMATU FAMILIA 50 zilikesha nje penye baridi baada ya nyumba zao kuteketea kwenye mkasa wa moto usiku wa kuamkia...
Moto wateketeza afisi ya naibu kamishna Lari, nyumba za polisi
Na LAWRENCE ONGARO MOTO mkubwa ulishuhudiwa katika eneo la Lari katika wadi ya Kinare, Kaunti ya Kiambu na kuteketeza afisi ya naibu...
Nyumba 100 zateketea Mukuru
NA SAMMY KIMATU NAIROBI ZAIDI ya watu 300 katika mtaa mmoja wa mabanda kaunti ya Nairobi walikesha nje penye...
- by adminleo
- June 29th, 2020
Moto wasababishia wakazi hasara ya Sh50m
NA RUTH MBULA NA FAUSTINE NGILA Wakulima wa kikundi cha Keyian kaunti ya Transmara Magharibi wanakadiria harasa ya Sh50 milioni baada ya...