Tag: mshairi wetu
SHAIRI: Msirarue maisha yangu
Nanena nisikike, Nitambulike nipewe haki yangu, Hadhi yangu nipate, Heshima zangu nipokee. Elimu kamwe...
- by adminleo
- March 4th, 2020
MSHAIRI WETU: Nashon Kibet Domongole almaarufu Malenga Mbarikiwa
Na CHRIS ADUNGO KUPATA si kwa werevu na kukosa si kwa ujinga. Kila jambo hutokea katika maisha ya binadamu kwa sababu. Kujituma...
- by adminleo
- February 25th, 2020
MSHAIRI WETU: Jesse Chege Mwangi almaarufu ‘Malenga Mzalendo’
Na CHRIS ADUNGO USHAIRI ni utungo unaoelezea hisia za ndani za msanii kutegemea mazingira yake. Ni utanzu ambao haujachapukiwa sana...
- by adminleo
- February 12th, 2020
MSHAIRI WETU: Joel Odhiambo almaarufu Mwana Wa Nyoka
Na CHRIS ADUNGO NYOTE ambao hamjapiga mbizi katika bahari ya ushairi na fasihi kwa jumla, na mnajivunia kipaji cha utunzi, basi mnakosa...
- by adminleo
- November 13th, 2019
MSHAIRI WETU: Alex Maingi Ndungi almaarufu ‘Malenga Mamboleo’
Na CHRIS ADUNGO MBALI na kupitisha ujumbe maalum kwa wanajamii, ushairi ni sanaa ambayo imeibukia kuwa kipengele mahsusi cha...
- by adminleo
- September 25th, 2019
MSHAIRI WETU: Emmanuel Viambaka almaarufu Malenga Mcha Mola
Na CHRIS ADUNGO KAZI yoyote ya fasihi, haswa ushairi, huangazia maisha halisi ya binadamu kwa njia mbalimbali. Masuala yote...
- by adminleo
- September 18th, 2019
MSHAIRI WETU: Antony Nyaga almaarufu ‘Hakuna Matata’
Na CHRIS ADUNGO USHAIRI ni sanaa ambayo hutumiwa kumulika jamii. Mtu hawezi kabisa kubobea katika sanaa hii iwapo hana uwezo wa...
- by adminleo
- September 11th, 2019
MSHAIRI WETU: Bernard Mwandikwa almaarufu ‘Mshairi wa Riaka’
Na CHRIS ADUNGO FANI ya ushairi ni kiungo muhimu katika jamii japo imekosa mapokeo mema katika kizazi cha Karne ya 21. Isitoshe,...
- by adminleo
- September 4th, 2019
MSHAIRI WETU: Dunneta Samama almaarufu ‘Malenga wa Mashinani’
Na CHRIS ADUNGO MASHAIRI yanaweza kutumiwa kuburudisha, kuelimisha, kuonya na hata kuipa jamii mwelekeo. Mashairi pia hutumiwa...
- by adminleo
- August 14th, 2019
MSHAIRI WETU: Wangu Kanuri almaarufu ‘Malenga wa Baraka’
Na CHRIS ADUNGO USHAIRI ni kioo cha jamii kinachopania kumulika masuala ibuka katika jamii na masaibu ya mara kwa mara katika maisha ya...
- by adminleo
- March 27th, 2019
MSHAIRI WETU: Sophy Onura ‘Johari Mwana Zawadi’
Na CHRIS ADUNGO MBALI na kupitisha ujumbe maalum kwa wanajamii, ushairi ni sanaa ambayo imeibukia kuwa kipengele mahususi cha...
- by adminleo
- March 20th, 2019
MSHAIRI WETU: Boaz Aseli ‘Ustadh Kipepeo’
Na CHRIS ADUNGO WATU wengi hukata tamaa maishani kwa kuambiwa kuwa hawawezi kitu. Katika maisha, twafaa kuwa na subira ambayo siku...