Tag: muafaka
- by adminleo
- March 10th, 2019
Hii handisheki ni ndoto tu – Ruto
Na SAMUEL BAYA SIKU moja baada ya kuadhimisha mwaka mmoja tangu Rais Uhuru Kenyatta na kinara wa ODM Raila Odinga kuungana, Naibu Rais...
- by adminleo
- February 23rd, 2019
Nyanza kuvuna zaidi kutokana na muafaka
Na PETER MBURU MUAFAKA wa Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga umezidi kulizalia eneo la Nyanza matunda, kwani sasa Jiji la...
- by adminleo
- January 28th, 2019
‘Handisheki’ inavyomfaa Raila
Na BENSON MATHEKA MUAFAKA maarufu kama “handisheki” kati ya Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM, Raila Odinga umeibuka kuwa...
- by adminleo
- January 23rd, 2019
Mudavadi ataka jopo la maridhiano kuitisha mkutano Bomas
Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Chama cha Amani National Congress (ANC) Musalia Mudavadi ameitaka Kamati ya Maridhiano (BBI) kuitisha...
- by adminleo
- December 28th, 2018
2018: Muafaka wa Uhuru na Raila uliibua mtazamo mpya wa kisiasa bungeni
Na CHARLES WASONGA MBWEMBWE na mahanjam zilishamiri bungeni mnamo Machi mwaka huu Rais Uhuru Kenyatta alipowasilisha Hotuba yake kuhusu...
- by adminleo
- December 24th, 2018
KRISMASI: Sura mpya za vigogo wa kisiasa wakisherehekea msimu
Na VALENTINE OBARA KRISMASI ya mwaka huu inatarajiwa kuwa yenye tofauti kubwa kwa viongozi wakuu wa kisiasa ikilinganishwa na jinsi...
- by adminleo
- December 17th, 2018
OBARA: Muafaka usiwe siasa tu bali uinue maisha ya raia
Na VALENTINE OBARA USHIRIKIANO wa Rais Uhuru Kenyatta na Kiongozi wa Chama cha ODM Raila Odinga, unaazidi kusifiwa kutoka pande...
- by adminleo
- December 14th, 2018
Uhuru na Raila washauriana kisiri usiku
Na WAANDISHI WETU RAIS Uhuru Kenyatta alikutana kisiri na kiongozi wa ODM Raila Odinga mnamo Alhamisi usiku katika Ikulu ndogo ya Kisumu...
- by adminleo
- December 14th, 2018
Hoteli Kisumu zavuna matunda ya muafaka kwenye ziara ya Rais
Na ELIZABETH OJINA-250 MIKAHAWA ya kifahari jijini Kisumu imevuna pakubwa kutokana na ziara ya Rais Uhuru Kenyatta kuzindua mpango wa Afya...
- by adminleo
- December 14th, 2018
Referenda yaja, Uhuru adokezea Wakenya
Na VALENTINE OBARA RAIS Uhuru Kenyatta Alhamisi alidokeza kuunga mkono marekebisho ya Katiba ili kuwe na nafasi zaidi za uongozi...
- by adminleo
- November 16th, 2018
MOHAMMED: Muafaka wa Uhuru na Raila hakika ni laana ya aina yake
Na MAINA MOHAMMED LABDA ni mojawapo ya masuala yatakayoandika upya historia ya siasa za upinzani Kenya. Ama karata aliyocheza Rais...
- by adminleo
- November 7th, 2018
MUAFAKA: Kamati ya pamoja kuzuru kaunti zote 47 kupata maoni ya Wakenya
Na CHARLES WASONGA KAMATI ya Kitaifa la Maridhiano (Building Bridges Initiative) imeanza vikao vyake vya kufanya mashauriano na...