Tag: Mutahi Kagwe
- by T L
- December 15th, 2021
Covid: Kagwe aapa kupuuza uamuzi wa korti kuhusu chanjo
RICHARD MUNGUTI na PIUS MAUNDU MAHAKAMA Kuu imepiga breki agizo la Waziri wa Afya Mutahi Kagwe kwamba Wakenya ambao hawatakuwa wamepata...
- by T L
- November 30th, 2021
Kagwe awaharibia Wakenya Krismasi
Na WINNIE ATIENO WADAU katika sekta zinazotegemewa sana kwa sherehe za kufunga mwaka, wanahofia kupata hasara Desemba ikiwa serikali...
Kafyu yasaidia kuepusha hali mbaya shughuli ya utoaji chanjo ikiendelea – Kagwe
Na SAMMY WAWERU AMRI ya kitaifa ya kutotoka nje kati ya saa nne usiku hadi saa kumi alfajiri itaendelea kutekelezwa kwa muda wa siku 30...
Wanafunzi wanaougua corona hawaonyeshi dalili – Kagwe
Na SAMMY WAWERU WAZIRI wa Afya Mutahi Kagwe ameonya kuwa endapo wananchi hawatachukua tahadhari na kujikinga kutokana na virusi vya...
Corona: Kagwe atoa afueni kwa kaunti 13 za magharibi mwa Kenya
Na CHARLES WASONGA SERIKALI sasa imebadilisha saa za kafyu katika kaunti 13 katika maeneo yanayopakana na Ziwa Victoria ambayo yalitajwa...
‘Hakuna kifo cha corona jana Jumatano’
Na CHARLES WASONGA KENYA Jumatano, haikuandikisha kisa chochote cha maafa kutokana na ugonjwa wa Covid-19 huku visa 485 vipya vya...
Kisumu ingali juu kwa visa vipya vya corona
Na CHARLES WASONGA KAUNTI ya Kisumu inaendelea kuongoza katika idadi ya visa vya maambukizi ya Covid-19 inayorekodiwa katika kila moja...
Mapuuza ya sheria yaendelezwa na mawaziri
Na CHARLES WASONGA MOJAWAPO ya sababu zilizochangia mahakama kuu kuharamisha mchakato wa mageuzi ya Katiba kupitia mpango wa maridhiano...
Kenya yakabiliwa na uhaba mkubwa wa chanjo ya corona
Na CHARLES WASONGA KIWANGO cha maambukizi ya corona kilipanda Jumatano hadi asilimia 9.1 kutoka asilimia 7.5 Jumanne baada ya serikali...
Kaunti kupokonywa chanjo zipelekwe kwingine
Na IRENE MUGO KAUNTI ambazo zina idadi kubwa ya watu wanaosusia chanjo ya virusi vya corona, zitapokonywa chanjo hizo ili zipelekwe...
Maelfu kuenda Uingereza kabla ya marufuku kuanza
Na LEONARD ONYANGO SHIRIKA la Ndege la Kenya (KQ) limeongeza idadi ya ndege zitakazohudumia idadi kubwa ya watu wanaotaka kwenda...
Aina hatari ya corona imetua nchini – Kagwe
Na BENSON MATHEKA Waziri wa Afya, Mutahi Kagwe, amekiri kwamba visa vya maambukizi ya aina mpya hatari ya corona iliyogunduliwa Afrika...