Tag: narok
- by T L
- December 1st, 2021
Koo 7 zasaka maafikiano kabla uchaguzi
Na GEORGE SAYAGIE VIONGOZI kutoka koo saba za jamii ya Wamaasai Kaunti ya Narok, wameanza mazungumzo kwa lengo la kushirikiana kabla ya...
Wamaasai waonya Tangatanga dhidi ya kujaribu kupenya Narok
Na GEORGE SAYAGIE VIONGOZI kutoka jamii ya Wamaasai wameonya kundi la wanasiasa wa kundi la ‘Tangatanga’ dhidi ya kujaribu...
- by adminleo
- June 7th, 2020
Watu 6 wauawa katika mapigano ya Narok
NA GEORGE SAYAGIE Maafisa wa usalama wamesema kwamba mapigano ya kikabila yanayoendelea kati ya jamii za mpaka wa Narok na Nakuru...
- by adminleo
- May 26th, 2020
Natembeya ‘apiga marufuku’ wanasiasa kuzuru Narok
Na SAMMY WAWERU KUFUATIA mzozo wa kijamii unaoendelea katika Kaunti ya Narok, Mshirikishi wa eneo la Bonde la Ufa George Natembeya...
- by adminleo
- February 23rd, 2020
Tangatanga wasusia hafla ya BBI Narok, Ruto akifokea Raila
ALEX NJERU na GEORGE SAYAGIE WANASIASA wanaoegemea mrengo wa Tangatanga Jumamosi walisusia mkutano wa kupigia debe Mpango wa Maridhiano...
- by adminleo
- June 1st, 2019
Madaraka Dei: Mshukiwa wa ugaidi akamatwa akijaribu kuingia Narok Stadium
Na NYABOGA KIAGE na SAMMY WAWERU MWANAMUME mwenye umri wa miaka 22 Jumamosi asubuhi alitiwa nguvuni akijaribu kuingia kinyume cha sheria...
- by adminleo
- November 11th, 2018
AKILIMALI: Mafunzo muhimu kwenye warsha ya kilimo na ufugaji
NA FAUSTINE NGILA KIU ya wakulima kuelewa mbinu bora za ukuzaji wa mimea na ufugaji wa mifugo inazidi kupanda katika maeneo mengi humu...
- by adminleo
- July 30th, 2018
NAROK: Eneo ambako ndugu huoza dada zao bila kuchukuliwa hatua
Na BENSON MATHEKA WATOTO wasichana eneo la Olpusimoru, Kaunti ya Narok wanakabiliwa na hatari ya kuozwa mapema na ndugu zao bila...
- by adminleo
- April 25th, 2018
Kero la mafuriko Mai-Mahiu
Na ANTHONY OMUYA Shughuli za usafiri zilitatizika kwa muda wa zaidi ya saa 10 Jumatatu usiku baada ya mvua ya mafuriko...
- by adminleo
- April 10th, 2018
MAKALA MAALUM: Wanawake wanavyooana kuepuka utasa
NA PETER MBURU UTASA na ugumba ni hali inayosababisha uchungu kwenye nyoyo za wanandoa, mbali na kushusha hadhi na heshima na tamaduni za...
- by adminleo
- February 28th, 2018
Uchomaji makaa wapigwa marufuku Narok
Na GEORGE SAYAGIE SERIKALI ya kaunti ya Narok, imepiga marufuku uchomaji wa makaa kwa muda usiojulikana kufuatia ukataji miti katika...