Tag: Nick Mwendwa
- by T L
- July 13th, 2022
Mwendwa akosa kufika kortini tena
NA RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Rais wa Shirikisho la Soka Nchini (FKF) Nick Mwendwa hakufika katika mahakama ya Kiambu kujibu mashtaka...
- by T L
- December 28th, 2021
Namna ufalme wa Mwendwa katika soka nchini ulivyoporomoshwa na mkono mrefu wa serikali
Na CECIL ODONGO MNAMO Novemba 4, 2006 aliyekuwa Waziri wa Michezo Maina Kamanda alivunja lililokuwa wakati huo Shirikisho la Soka Nchini...
- by T L
- December 6th, 2021
Mwendwa atupwa seli tena baada ya kukana mashtaka
Na RICHARD MUNGUTI RAIS wa Shirikisho la Kandanda Nchini (FKF) Nick Mwendwa, jana alipinga akishtakiwa kwa ubadhirifu wa zaidi ya...
- by T L
- November 27th, 2021
Mwendwa kushtakiwa jumaa tatu
Na RICHARD MUNGUTI RAIS wa Shirikisho la Kandanda Nchini (FKF) Nick Mwendwa aliyekamatwa Ijumaa atashtakiwa Jumatatu kwa ubadhirifu wa...
- by T L
- November 26th, 2021
Mwendwa aponea ila hatarejea afisini FKF
RICHARD MUNGUTI na JOHN ASHIHUNDU MKURUGENZI wa mashtaka ya umma (DPP) hakumfungulia mashtaka rais wa shirikisho la kandanda nchini...
- by T L
- November 18th, 2021
Mna siku 7 kumshtaki Mwendwa, korti yaagiza
RICHARD MUNGUTI na JOHN ASHIHUNDU MAHAKAMA imempa Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji siku saba amfungulie mashtaka ya...
- by T L
- November 16th, 2021
Mwendwa aachiliwa kwa dhamana ya Sh4Milioni pesa taslimu
Na RICHARD MUNGUTI Rais wa Shirikisho la Kandanda Nchini (FKF), Nick Mwendwa amepata afueni baada ya kuachiliwa kwa dhamana ya Sh4...
- by T L
- November 16th, 2021
Mwendwa aagizwa ajitenge na soka baada ya kuachiliwa
RICHARD MUNGUTI na JOHN ASHIHUNDU RAIS wa Shirikisho la Kandanda Nchini (FKF), Nick Mwendwa amepata afueni baada ya kuachiliwa kwa...
- by T L
- November 15th, 2021
Madai ya usimamizi mbaya, ubadhirifu FKF ni pigo kwa michezo nchini
Na GEOFFREY ANENE KATIBU wa Shirikisho la Mpira wa Magongo Kenya (KHU) Wycliffe Ongori anasema kesi zinazokabili viongozi wa Shirikisho...
- by T L
- November 12th, 2021
Rais akamatwa
Na RICHARD MUNGUTI RAIS wa Shirikisho la Kandanda Nchini (FKF) alikamatwa muda mfupi baada ya Mahakama kuu ya Milimani kukataa kusitisha...
- by T L
- November 7th, 2021
Majagina wamtaka Mwendwa agure FKF
Na JOHN ASHIHUNDU WALIOKUWA wachezaji wa kimataifa wanataka maafisa wa Shirikisho la Soka Nchini (FKF) wakae kando baada ya madai kwamba...
Mwendwa aidhinishwa kuwania nafasi ya haiba katika Baraza Kuu la FIFA
Na CHRIS ADUNGO RAIS wa Shirikisho la Soka la Kenya (FKF), Nick Mwendwa, ameidhinishwa na Shirikisho la Soka Kimataifa kuwania mojawapo...