• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 9:15 PM

Mrithi wa Uhuru kuona moto

NA CHARLES WASONGA MRITHI wa Rais Uhuru Kenyatta baada ya Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9 atakuwa kwenye hatari ya kukabiliwa na maasi ya umma...

Shirika laonya mvua haitaleta afueni ya haraka dhidi ya njaa

NA SIAGO CECE SHIRIKA la kimataifa la kutabiri hali ya hewa lililo chini ya muungano wa serikali za Afrika (ICPAC), limeshauri mataifa...

TAHARIRI: Njaa haifai kusumbua miaka 58 tangu uhuru

KITENGO cha UHARIRI KENYA ilipojipatia uhuru wake, waasisi wa nchi hii walitangaza vita dhidi ya maadui wanne: ujinga, umaskini, maradhi...

Njaa: Mbunge aomba wahisani wawasaidie wakazi na chakula

Na MAUREEN ONGALA MBUNGE wa Magarini, Bw Michael Kingi, ametoa wito kwa wahisani kusaidia wakazi wa Kilifi wanaoendelea kukumbwa na...

Njaa yawakosesha wanafunzi 1,603 umakinifu Mbeere

Na GEORGE MUNENE ZAIDI ya wanafunzi 1,603 katika eneo pana la Mbeere, Kaunti ya Embu wanakabiliwa na baa la njaa na wanahitaji...

Wakazi wakeketwa na njaa mifugo ikizidi kuangamia

Na WAANDISHI WETU FAMILIA katika kaunti zinazokumbwa na ukame zinaendelea kuathiriwa na njaa na kiu tangu Rais Uhuru Kenyatta atangaze...

Njaa: UN yaahidi Sh13b kusaidia waathiriwa

GEORGE MUNENE na BARNABAS BII UMOJA wa Mataifa (UN) umeahidi kutoa Sh13 bilioni kusaidia watu milioni 2 wanaokabiliwa na janga la njaa...

Njaa: Serikali kuanza kusambaza mlo, maji

Na WINNIE ATIENO SERIKALI kuu itaanza kuwapa msaada wa chakula na maji wanaoathiriwa na njaa kuanzia wiki ijayo, ili kuokoa maisha baada...

CHARLES WASONGA: Serikali izuie wizi wa vyakula vya misaada kwa wahanga wa ukame

Na CHARLES WASONGA BAADA ya Rais Uhuru Kenyatta kutangaza ukame kuwa janga la kitaifa, kuna uwezekano mkubwa kwamba mashirika mbalimbali...

Wanafunzi wazimia shuleni kwa njaa

Na KENYA NEWS AGENCY HOFU ilitanda katika Shule ya Msingi ya Kalimamundu, Kaunti Ndogo ya Kyuso, Kaunti ya Kitui, baada ya wanafunzi...

Raia wafa njaa viongozi wakipiga domo

Na WAANDISHI WETU WAKENYA kadha katika Kaunti ya Samburu wamefariki kwa kukosa chakula na maji kufuatia ukame unaokumba kaunti 12 za...

Jiandaeni kwa kiangazi na njaa, shirika laonya

Na CHARLES WASONGA SHIRIKA la Utabiri wa Hali ya Anga limeonya kuwa hali ya kiangazi itashuhudiwa maeneo kadha nchini huku likiongeza kuwa...