Tag: risasi
- by adminleo
- May 28th, 2020
Mwanajeshi na polisi waliofyatuliana risasi kimakosa wafariki
Na FARHIYA HUSSEIN MWANAJESHI na polisi waliopata majeraha kwa kufyatuliana risasi kimakosa wamefariki kutokana na majeraha waliyopata...
- by adminleo
- May 27th, 2020
Wanajeshi wawili na polisi wauguza majeraha baada ya kushambuliana kimakosa
Na FARHIYA HUSSEIN WANAJESHI wawili kutoka kikosi cha Kenya (KDF) na polisi mmoja wanaendelea kuuguza majeraha waliyopata baada ya...
- by adminleo
- May 19th, 2020
Polisi wafyatuliana risasi na washukiwa wa al-Shabaab Garissa
Na FARHIYA HUSSEIN POLISI na wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa al-Shabaab walifyatuliana risasi Kaunti ya Garissa baada ya gari la maafisa...
- by adminleo
- November 25th, 2019
EACC yatofautiana na polisi kuhusu ufyatulianaji risasi na hongo
NA JUSTUS OCHIENG' TUME ya Maadili ya Kupambana na Ufisadi(EACC) na polisi wametofautiana vikali kuhusu kisa cha kupigwa risasi wa...
- by adminleo
- November 24th, 2019
Chokoraa aliyepigwa risasi na polisi alilia haki
Bw Kaka Karanja anasema juhudi zake za kupata msaada kutoka kwa polisi zimegonga mwamba.Alisema alikuwa akitembea barabarani...
- by adminleo
- June 12th, 2019
Apigwa risasi akiingia Ikulu ‘kumuua’ Uhuru
Na VALENTINE OBARA MWANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Jomo Kenyatta (JKUAT) anauguza majeraha ya risasi aliyopigwa alipojaribu kuvamia Ikulu...
- by adminleo
- April 30th, 2019
Taharuki KDF kuua watu 3 kwa risasi kabla ya kujiangamiza
TITUS OMINDE na WYCLIFFE KIPSANG MWANAJESHI aliyekuwa akifanya kazi katika kambi ya KDF ya Lanet, Nakuru Jumanne aliwaua watu watatu na...
- by adminleo
- March 21st, 2019
Ajipiga risasi akijaribu kuua kombamwiko
MASHIRIKA Na PETER MBURU MWANAMUME kutoka Michigan, Marekani alijipiga risasi mguuni wakati alipokuwa akitupa kiatu baada ya kugundua...
- by adminleo
- March 21st, 2019
Mwanamke ampiga risasi mpenzi wake kwa kukoroma usingizini
MASHIRIKA Na PETER MBURU MWANAMKE kutoka Florida, Marekani amefunguliwa mashtaka ya kujaribu kuua, baada ya kumpiga mpenzi wake risasi,...
- by adminleo
- March 3rd, 2019
Polisi waua washukiwa 2 waliokuwa wakiuza risasi
NA OSCAR KAKAI Washukiwa wawili Jumamosi waliuawa kwa kupigwa risasi na maafisa wa polisi eneo la Kitalakapel kwenye barabara ya...
- by adminleo
- August 30th, 2018
Polisi asukumwa jela kwa kumpiga risasi na kumuua mvulana Mwafrika
MASHIRIKA Na PETER MBURU CHICAGO, MAREKANI MAHAKAMA moja ya Texas Jumanne ilimpata afisa mzungu na makosa ya mauaji ya mvulana mweusi wa...
- by adminleo
- May 31st, 2018
Jambazi ataka fidia ya Sh270 milioni kwa kupigwa risasi akiiba
Na MASHIRIKA BROOKLYN, AMERIKA JAMBAZI aliyepigwa risasi na mwenye duka alipopatikana peupe akipora duka la mvinyo, anataka alipwe ridhaa...