• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

Mfalme wa soka Afrika

Na MASHIRIKA RABAT, Morocco SADIO Mane ameingia ligi ya wachezaji walioshinda tuzo ya mwanasoka bora (mwanamume) mara mbili barani...

Liverpool waponda Leeds United na kuendeleza presha kwa Man-City kileleni mwa jedwali la EPL

Na MASHIRIKA LIVERPOOL walipunguza zaidi pengo la alama kati yao na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), Manchester City...

NYOTA WA WIKI: Sadio Mane

NA GEOFFREY ANENE SI ajabu kwamba Sadio Mane anasifika kama mmoja wa mawinga 10 bora duniani. Ubunifu wake, ukatili mbele ya lango,...

AFCON: Senegal wakomoa Cape Verde na kuingia robo-fainali

Na MASHIRIKA FOWADI Sadio Mane alifungulia Senegal ukurasa wa mabao katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Cape Verde mnamo Jumanne usiku na...

Penalti ya Sadio Mane yasaidia Senegal kuzamisha Zimbabwe katika mechi ya Kundi B kwenye AFCON

Na MASHIRIKA PENALTI ya sekunde za mwisho wa kipindi cha pili kutoka kwa fowadi Sadio Mane wa Liverpool iliwezesha Senegal kukomoa...

Pigo kwa Liverpool na Senegal fowadi tegemeo Sadio Mane akipata jeraha baya

Na MASHIRIKA FOWADI wa Liverpool, Sadio Mane, anasubiri matokeo ya vipimo vya X-ray baada ya kupata jeraha baya alipokuwa akichezea...

Leeds United wanyima Liverpool fursa ya kutinga ndani ya mduara wa nne-bora EPL

Na MASHIRIKA DIEGO Llorente alifungia Leeds United bao la dakika za mwisho na kuwanyima mabingwa watetezi Liverpool fursa ya kutua ndani...

Sitagura Liverpool hata tukishindwa kufuzu UEFA muhula ujao – Sadio Mane

Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI Sadio Mane, 28, amesema atasalia uwanjani Anfield kuvalia jezi za Liverpool hata kama waajiri wake hao...

Liverpool wazamisha makinda wa Aston Villa na kusonga mbele katika Kombe la FA

Na MASHIRIKA LIVERPOOL walifuzu kwa raundi ya nne ya Kombe la FA msimu huu wa 2020-21 mnamo Januari 8 baada ya kuwapepeta Aston Villa...

Wanasoka wanne wa Liverpool kuwania tuzo ya FIFA ya Mchezaji Bora wa Mwaka 2020

Na MASHIRIKA WANASOKA Virgil van Dijk, Mohamed Salah, Sadio Mane na Thiago Alcantara wa Liverpool wameteuliwa kuwania taji la Mwanasoka...

Mane aongoza Liverpool kupepeta Chelsea ugani Stamford Bridge

Na MASHIRIKA LIVERPOOL walitangaza mapema azma yao ya kuhifadhi ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu baada ya kuwapepeta...

STARS HOI: Senegal yaipiga Kenya magoli 3-0

Na MASHIRIKA CAIRO, MISRI SADIO Mane alifunga mabao mawili muhimu katika ushindi wa 3-0 katika mechi baina ya Senegal na Kenya mnamo...