Tag: Samburu
SHINA LA UHAI: Mto Ewaso Ng’iro hatarini kukauka
Na PAULINE ONGAJI UNAPOTAZAMA kwa umbali utadhani kwamba hili ni jangwa. Mchanganyiko wa matope na mchanga kwenye ardhi tambarare...
Wabunge waitaka serikali ikomeshe mauaji Samburu
Na CHARLES WASONGA WABUNGE wawili kutoka Kaunti ya Samburu wameitaka serikali kuimarisha usalama katika eneo bunge la Samburu Kaskazini...
- by adminleo
- August 4th, 2020
Ni wakati wetu kupata maendeleo, wafoka wabunge wa maeneo kame
Na CHARLES WASONGA WABUNGE kutoka maeneo kame nchini (ASAL) wamewataka maseneta kutupilia mbali mfumo wa ugavi wa fedha kwa kaunti...
- by adminleo
- June 25th, 2020
Mifugo Samburu wachanjwa
Na GEOFFREY ONDIEKI [email protected] Serikali imeanzisha kampeni ya kutoa chanjo ya ugonjwa wa miguu na mdomo katika kaunti ya...
- by adminleo
- April 15th, 2020
Mbunge adai maisha yake yamo hatarini
Na GEOFFREY ONDIEKI [email protected] Mbunge wa Samburu Kaskazini Alois Lentoimaga sasa anadai kuwa maisha yake yamo...
- by adminleo
- April 9th, 2020
Kitendawili cha msitu wa Kirisia Samburu
Na GEOFFREY ONDIEKI [email protected] Maafisa wa polisi kutoka idara ya misitu (KFS) wameanza kubomoa nyumba (manyatta) za...
- by adminleo
- April 8th, 2020
Vijana Samburu wahamasisha jamii kuhusu corona
Na GEOFFREY ONDIEKI [email protected] Janga la virusi hatari vya Corona linapoendelea kuzua hofu humu nchini, baadhi ya vijana...
- by adminleo
- December 12th, 2019
Yaibuka wasichana wanakeketwa kisiri Samburu
Na GEOFFREY ONDIEKI [email protected] Juhudi za serikali na mashirika mbalimbali kumaliza ukeketaji wa wasichana katika kaunti...
- by adminleo
- September 26th, 2019
HARAKATI ZA KUJIKIMU: Jamii ya ufugaji iliyobadili sura ya Samburu kwa kukuza mimea
Na SAMUEL BAYA KAUNTI ya Samburu inajulikana sana kwa sababu ya shughuli za ufugaji na zaidi biashara ya mifugo. Hii ni kwa sababu ya...
- by adminleo
- September 15th, 2019
Wanafunzi wanavyokuza mboga jangwani
NA RICHARD MAOSI Safari yetu mara hii ilitufikisha katika kaunti ya Samburu, ambayo inapatikana kaskazini mwa taifa la Kenya na raia...
- by adminleo
- April 6th, 2019
Maafisa wakuu Samburu wakana dai la ulaghai wa Sh84 milioni
Na RICHARD MUNGUTI KARANI wa Kaunti ya Samburu, Bw Stephen Siringa na washukiwa wengine tisa walishtakiwa Ijumaa kwa kuidhinisha malipo ya...