Tag: shetani
Nike yafika mahakamani kushtaki kampuni kuhusu ‘viatu vya kishetani’
Na MARY WANGARI KAMPUNI ya kutengeneza viatu vya wanariadha, Nike Inc, mnamo Jumanne, Machi 30, 2021, ilishtaki kampuni moja ya New...
- by adminleo
- May 23rd, 2020
KAMAU: Imani za kidini zisiwe kikwazo kwenye vita dhidi ya corona
Na WANDERI KAMAU HAPANA shaka yoyote kwamba dini huchangia pakubwa katika maisha ya mwanadamu hapa duniani. Bila uwepo wa dini,...
- by adminleo
- March 24th, 2020
Corona ni shetani, dawa ni kwenda kanisani, msikitini – Magufuli
Na MASHIRIKA RAIS John Magufuli amesema Tanzania haitafunga maeneo ya ibada akisisitiza virusi vya corona haviwezi kushinda nguvu za...
- by adminleo
- March 3rd, 2020
Maandamano Nakuru kulalamikia uabudu shetani shuleni
RICHARD MAOSI na MERCY KOSKEI BAADHI ya wazazi, walimu na wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Jamhuri, Nakuru, Jumatatu waliandama hadi...
- by adminleo
- July 15th, 2019
Askofu kutumia helikopta kutimua mapepo jijini
MASHIRIKA Na PETER MBURU ASKOFU wa Kikatoliki nchini Colombia ametangaza kuwa atatumia ndege kunyunyizia jiji moja maji matakatifu, ili...
- by adminleo
- June 20th, 2019
Mhubiri adai amemuua shetani
MASHIRIKA Na PETER MBURU MHUBIRI mtatanishi kutoka Afrika Kusini Paseka Motsoeneng ambaye anajulikana sana kama Nabii Mboro ameibuka na...
- by adminleo
- June 16th, 2019
Shetani asisingiziwe kwa ubakaji – Hakimu
Na Kalume Kazungu HAKIMU katika mahakama ya Lamu amewataka wahalifu wakome kumsingizia shetani wanapovunja sheria. Hakimu Mkuu, Allan...
- by adminleo
- October 29th, 2018
Wanafunzi wengi huabudu shetani nchini – Maaskofu
Na Titus Ominde MAASKOFU wawili wamedai kuwa kuna ibada za shetani nchini hasa miongoni mwa wanafunzi. Maskofu hao ambao ni askofu...
- by adminleo
- July 9th, 2018
Binti mwenye ‘nguvu za kishetani’ afukuzwa shuleni
Na VIVERE NANDIEMO MSICHANA mwenye umri wa miaka 13 katika eneo la Suna Magharibi, Kaunti ya Migori, anataabika baada ya kufukuzwa...