Tag: Tottenham Hotspur
- by T L
- January 15th, 2022
COVID-19: Mechi ya EPL kati ya Tottenham na Arsenal yaahirishwa
Na MASHIRIKA OMBI la Arsenal la kutaka pambano la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) lililokuwa liwakutanishe na Tottenham Hotspur ugenini...
- by T L
- December 20th, 2021
Spurs nje ya Europa Conference League baada ya kususia mechi dhidi ya Rennes
Na MASHIRIKA TOTTENHAM Hotspur wamedenguliwa kwenye Europa Conference League baada ya Shirikisho la Soka la bara Ulaya (Uefa) kubainisha...
- by T L
- October 22nd, 2021
Spurs wazidiwa ujanja katika gozi la Europa Conference League
Na MASHIRIKA TOTTENHAM Hotspur walilipia maamuzi ya kuacha nje wachezaji wao wa haiba kubwa wakati wa mechi ya Europa Conference League...
Tottenham wampa Nuno Espirito Santo mikoba yao ya ukocha
Na MASHIRIKA TOTTENHAM Hotspur wamemwajiri kocha wa zamani wa Wolves, Nuno Espirito, kwa mkataba wa miaka miwili. Nuno aliagana na...
DROO YA KOMBE LA FA: Leicester City wapewa Man-United huku Man-City wakikutanishwa na Everton
Na MASHIRIKA EVERTON watakuwa wenyeji wa viongozi wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) Manchester City kwenye robo-fainali za Kombe la FA...
Spurs wakomoa Brentford 2-0 na kufuzu kwa fainali ya Carabao Cup
Na MASHIRIKA KOCHA Jose Mourinho aliwaongoza Tottenham Hotspur kupepeta Brentford 2-0 mnamo Jumanne na kutinga fainali ya Carabao Cup...
- by adminleo
- July 3rd, 2020
Sheffield United wafundisha vijana wa Mourinho kusakata boli
Na CHRIS ADUNGO SHEFFIELD United walisajili ushindi wao wa kwanza tangu kurejelewa kwa kipute cha Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) katika...
- by adminleo
- June 25th, 2020
Harry Kane alenga kufunga jumla ya mabao 200 katika EPL na kufikia rekodi za Shearer na Rooney
Na CHRIS ADUNGO MSHAMBULIAJI matata wa Tottenham Hotspur, Harry Kane amesema kwamba analenga kuwa mchezaji wa tatu baada ya Alan Shearer...
- by adminleo
- June 12th, 2020
Mzaha wa Dele Alli kuhusu corona wampokeza adhabu kali
Na CHRIS ADUNGO KIUNGO Dele Alli wa Tottenham Hotspur amepigwa marufuku ya mechi moja na Shirikisho la Soka la Uingereza (FA) kwa sababu...
- by adminleo
- April 11th, 2020
‘Msiwakate mshahara wafanyakazi wa Tottenham’
Na CHRIS ADUNGO CHAMA cha mashabiki wa Tottenham Hotspur (THST) kinaamini kwamba “bado kuna muda” kwa usimamizi “kufanya maamuzi...
- by adminleo
- January 1st, 2020
Roketi ya Victor Wanyama katika tuzo ya bao bora
Na GEOFFREY ANENE HUKU Victor Wanyama akizidi kuhusishwa na tetesi za kuondoka klabu yake ya Tottenham Hotspur katika kipindi kifupi cha...
- by adminleo
- December 28th, 2019
Mwanya kwa Wanyama kutesa akiwajibikia Spurs wajitokeza
Na MWANDISHI WETU VICTOR Wanyama huenda akanufaika kutokana na marufuku ya wachezaji Harry Winks na Moussa Sissoko kupangwa na Jose...