Tag: upangaji uzazi
- by adminleo
- November 10th, 2019
Wanawake Kilifi lawamani kukataza waume kupanga uzazi
Na MAUREEN ONGALA WANAWAKE katika Kaunti ya Kilifi wameshutumiwa kwa kuwazuia waume zao kukatwa mirija ya kupitisha mbegu za kiume kama...
- by adminleo
- October 1st, 2019
PATA USHAURI WA DKT FLO: Ni lazima upasuaji kuondoa koili/kitanzi?
Na DKT FLO Mpendwa Daktari, Kwa wiki kadha sasa nimekuwa nikikumbwa na maumivu ya mgongo na nashuku kwamba ni kitanzi/koili...
- by adminleo
- June 18th, 2019
Dawa ya kupanga uzazi iliyopigwa marufuku yarejea sokoni
Na BERNARDINE MUTANU Dawa ya kupanga uzazi kutoka China iliyopigwa marufuku miaka 10 iliyopita baada ya kugundulika kudhuru wanawake na...
- by adminleo
- March 12th, 2019
Kanisa ladai upangaji uzazi umelipunguzia waumini
Na ALEX NJERU MAKASISI wa Kanisa Katoliki wamelaumu matumizi ya njia za kisasa za upangaji uzazi kama sababu kuu ya kupungua kwa idadi...
- by adminleo
- January 7th, 2019
Wakazi wakataa kupanga uzazi, wasema idadi yao itapungua
Na KALUME KAZUNGU WAKAZI wa Lamu wamepinga mpango wa upangaji uzazi, wakidai utachangia kuzidi kupunguza idadi ya watu ambayo tayari iko...
- by adminleo
- December 28th, 2018
Mpango wa upangaji uzazi wazinduliwa Lamu
NA KALUME KAZUNGU IDARA ya Afya Kaunti ya Lamu imezindua rasmi mpango maalum utakaotumika katika utekelezaji wa shughuli za upangaji uzazi...