• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 5:23 PM

Wanawake Kilifi lawamani kukataza waume kupanga uzazi

Na MAUREEN ONGALA WANAWAKE katika Kaunti ya Kilifi wameshutumiwa kwa kuwazuia waume zao kukatwa mirija ya kupitisha mbegu za kiume kama...

PATA USHAURI WA DKT FLO: Ni lazima upasuaji kuondoa koili/kitanzi?

Na DKT FLO Mpendwa Daktari, Kwa wiki kadha sasa nimekuwa nikikumbwa na maumivu ya mgongo na nashuku kwamba ni kitanzi/koili...

Dawa ya kupanga uzazi iliyopigwa marufuku yarejea sokoni

Na BERNARDINE MUTANU Dawa ya kupanga uzazi kutoka China iliyopigwa marufuku miaka 10 iliyopita baada ya kugundulika kudhuru wanawake na...

Kanisa ladai upangaji uzazi umelipunguzia waumini

Na ALEX NJERU MAKASISI wa Kanisa Katoliki wamelaumu matumizi ya njia za kisasa za upangaji uzazi kama sababu kuu ya kupungua kwa idadi...

Wakazi wakataa kupanga uzazi, wasema idadi yao itapungua

Na KALUME KAZUNGU WAKAZI wa Lamu wamepinga mpango wa upangaji uzazi, wakidai utachangia kuzidi kupunguza idadi ya watu ambayo tayari iko...

Mpango wa upangaji uzazi wazinduliwa Lamu

NA KALUME KAZUNGU IDARA ya Afya Kaunti ya Lamu imezindua rasmi mpango maalum utakaotumika katika utekelezaji wa shughuli za upangaji uzazi...