Tag: vifo
- by adminleo
- May 16th, 2020
COVID-19: Visa jumla Kenya vyapanda hadi 830 wahanga wakifika 50
CHARLES WASONGA na SAMMY WAWERU IDADI ya visa vya maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya sasa imepanda hadi 830 baada ya watu...
- by adminleo
- May 11th, 2020
COVID-19: Idadi ya Wakenya waliofariki ughaibuni yafika 20
Na CHARLES WASONGA WIZARA ya Mashauri ya Kigeni imethibitisha kuwa jumla ya Wakenya 20 wamefariki kutokana na sababu zinazohusishwa na...
- by adminleo
- February 4th, 2020
Taifa laendelea kuomboleza vifo vya wanafunzi 14 Kakamega
Na CAROLINE WAFULA WAZAZI na viongozi mbalimbali wako katika Shule ya Msingi ya Kakamega ambapo Jumatatu kulitokea mkasa wa mkanyagano...
- by adminleo
- September 17th, 2019
SHINA LA UHAI: Taswira ya vifo vya uzazi na watoto wachanga nchini Kenya
Na BENSON MATHEKA IDADI ya watoto wanaofariki wakati wa kuzaliwa na kabla ya kutimiza miaka mitano na akina mama wanaoaga dunia kutokana...
- by adminleo
- August 10th, 2018
NENDENI SALAMA: Misa ya kuaga wanafunzi 10 yaandaliwa
Na BONIFACE MWANIKI HALI ya majonzi ilitanda katika uwanja wa michezo wa shule ya upili ya St. Joseph’s Seminary, Mwingi Alhamisi...
- by adminleo
- April 11th, 2018
Mvua ya mauti watu 22 wakiangamia
Na WAANDISHI WETU ZAIDI ya watu 22 walifariki dunia Jumanne kwenye mikasa miwili tofauti inayohusiana na mvua, huku idara ya utabiri wa...
- by adminleo
- March 25th, 2018
Takwimu: Siaya yaongoza kwa idadi kubwa zaidi ya vifo nchini
Na DOROTHY OTIENO na JOSHUA MUTISYA IKIWA unaishi Siaya, una uwezo mkubwa zaidi kufariki kabla ya muda wako ikilinganishwa na yeyote...
- by adminleo
- March 18th, 2018
TAHARIRI: Mafuriko ya sasa yawe funzo kwa umma na serikali
Na MHARIRI MAAFA na uharibifu wa mali unaendelea kushuhudiwa katika maeneo mbalimbali kutokana na mvua kubwa inayoendelea kushuhudiwa...
- by adminleo
- March 16th, 2018
Mafuriko yasababisha vifo zaidi
Na WAANDISHI WETU TAKRIBAN watu 15 wamekufa na wengine kujeruhiwa huku mali yenye thamani ya mamilioni ya pesa ikiharibiwa na mvua kubwa...
- by adminleo
- March 16th, 2018
MAAFA YA MVUA: Watu tisa waangamia
Na WAANDISHI WETU WATU tisa walifariki katika maeneo mbalimbali ya nchi kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha, ambayo pia...
- by adminleo
- March 13th, 2018
Bwana Harusi sasa aahirisha fungate baada ya sherehe kugeuka msiba
Na MOHAMED AHMED BWANAHARUSI katika sherehe ya harusi iliogeuka kuwa msiba kwa familia za watu sita eneo la Mishomoroni, Mombasa...
- by adminleo
- March 5th, 2018
Mvua kubwa yasababisha maafa kote nchini
Na WAANDISHI WETU Kwa ufupi: Watu watatu waliaga dunia na wengine zaidi ya 150 wakaachwa bila makao Taita Taveta Katika Kaunti...