Tag: wazee
- by T L
- November 9th, 2021
Wazee wakemea viongozi kunyamazia mzozo wa bahari
Na MAUREEN ONGALA WAZEE wa Kaya wanaotoka jamii ya Mijikenda na viongozi wa kidini wamewakashifu wanasiasa kutoka Pwani kutokana na...
CECIL ODONGO: Ushawishi wa mabaraza ya wazee kwenye mizani
Na CECIL ODONGO MABARAZA ya wazee wa jamii yaliheshimiwa sana miaka ya zamani yalipotoa mielekeo ya kisiasa; lakini sasa hayana sifa...
Wazee wakemea matamshi ya chuki
Na Oscar Kakai BARAZA la wazee wa jamii ya Kalenjin (Myoot) limetadharisha wanasiasa wa mirengo ya Kieleweke na Tangatanga dhidi ya...
Hisia mseto baada ya Wazee wa Agikuyu kumtembelea Raila, Bondo
NA WAANDISHI WETU BARAZA la Wazee wa Jamii ya Agikuyu limekana madai kuwa limemwidhinisha kiongozi wa ODM Raila Odinga kama mgombeaji wa...
Masaibu yamsukuma kuishi kwa nyumba ya wazee
Na DIANA MUTHEU KAWAIDA mtu yeyote anaposikia kuhusu nyumba ya wazee, kitu cha kwanza kitakachomjia akilini ni picha ya watu wakongwe...
- by adminleo
- July 7th, 2020
Changamoto kuzuia wazee katika ibada
Na BENSON MATHEKA UAMUZI wa serikali kwamba wazee wa zaidi ya umri wa miaka 58 wasikubaliwe kuingia katika maeneo ya ibada umeacha...
- by adminleo
- April 8th, 2020
Wazee wamlaani gavana kuzuia mbunge kuwapa chakula
Na TITUS OMINDE WAKONGWE wanaoishi katika mitaa ya mabanda katika Kaunti ya Uasin Gishu wamemshtumu Gavana Jackson Mandago kwa madai ya...
- by adminleo
- April 5th, 2020
Wazee wataka mitishamba itumike kutibu corona
MAUREEN ONGALA na FLORAH KOECH WAZEE wa Kaya katika eneo la Pwani, wanaitaka serikali ijaribu kutibu virusi vya corona kupitia...
- by adminleo
- April 4th, 2020
Gavana Mandago apiga marufuku wazee kuingia mijini
TITUS OMINDE na SAMUEL BAYA GAVANA wa Uasin Gishu, Jackson Mandago amepiga marufuku wazee kuzuru sehemu za miji katika kaunti hiyo hadi...
- by adminleo
- December 27th, 2019
Msitumie mavazi yetu asili kiholela – Wazee wa Agikuyu
Na MACHARIA MWANGI WAZEE wa jamii ya Agikuyu wameghadhabishwa na tabia ya baadhi ya wanasiasa kuvaa mavazi ya kitamaduni ya jamii hiyo...
- by adminleo
- November 10th, 2019
Wazee walia kunyimwa hela za uzeeni
NA KALUME KAZUNGU WAZEE kutoka vijiji vilivyoko ndani ya msitu wa Boni na vile vya mpakani mwa Kenya na Somalia wameilalamikia serikali...
- by adminleo
- October 21st, 2019
Wazee mnaovuta bangi mnachangia vijana kupotoka – kamishna
Na LAWRENCE ONGARO KUNA haja ya wazee kuwa kielelezo kwa vijana ili waweze kuiga mfano wao. Hayo yalitajwa na Naibu Kamishna wa Thika...