• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 8:55 PM
BI TAIFA APRILI 12, 2020

BI TAIFA APRILI 12, 2020

Sharon Blaine ni mwanamitindo maarufu kutoka kaunti ya Kisumu, mbali na kukuza vipaji vya ulimbwende anapenda kujihusisha na majukwaa ya urembo na mavazi ya kisasa. Muda wake anapenda kuogelea na kusakata kabumbu.
Picha/Richard Maosi

You can share this post!

Aligura kazi ngumu ya kuuza mashamba akaanzisha kampuni ya...

Safari ya Zack Kinuthia kielimu hadi kuwa Waziri Msaidizi...

adminleo