BURIANI PROFESA Weye kweli ni shujaa, ninasema duniani Kifo chako meduwaa, kusikia redioni Mafunzoyo yatang'aa, daima...
Kila mbwa ana siku, kauli ya wahenga, Kwamba corona janga, ni pigo la Rabana, Moshi wa huzuni, umeilemaza dunia, Hatuna hata...
TUWE ANGE Sichoki kuambieni, jambo jema la fanaka Nyote mjiandaeni,yafao kuajibika Msingoje maishani, kujua ya kuepuka Sisi sote tuwe...
Tunasaka jina lake, kiumbe al'e mgeni, Mie pia na mamake, mengi twayatathimini, Yapo majina ya kike, ya leo na ya zamani, Nishauri...
NA NEHEMIAH OMUKONYA Ninaandika, chozi likinidondoka, Nahuzunika, wapendwa tukiwazika, Hapa nataka, 'jua tutavyoepuka, Saratani! Tukupe...
NAANZA kwa la Jalia, jina lenye utukufu, Kofia nawavulia, nawapa heko sufufu, Mioyo naisifia, yenu iso usumbufu, Mtu ni mwenye utu, aso...
WAJA ukiwatendeya, wema waishi vicheko, Daima utapokeya, fanaka kila wendako, Kwa kuwa wetu Jaliya, aona mchango wako, Tenda wema wende...
Heshimu mama wa kambo ACHA niseme ukweli, tusiwe wa kuhukumu, Alowaumba Jalali, na siyo kuwahukumu, Wakikosa nasaili, wapatie...
WASICHANA ni wazuri, ukikuwa nazo pesa, Shababi muwe tayari, kwepuka hii mikasa, Mnatupandisha mori, hamuoni ni makosa, Tumechoka nazo...
Mtima wangu tulia Mtima wangu sikia, jifunze kuvumilia,Mtima wangu tulia, machungu yapokujia,Mtima wangu umia, lakini usijelia,Mtima wangu...
After learning that the death of his wife was not an...
Teenager Riley's mind headquarters is undergoing a sudden...
After their late former Captain is framed, Lowrey and...