• Nairobi
  • Last Updated May 19th, 2024 10:50 AM
Yassin Juma kuishi Ethiopia

Yassin Juma kuishi Ethiopia

NA FAUSTINE NGILA

Mwanahabari wa Kenya aliyezuiliwa nchini Ethiopia sasa yuko huru kurudi nyumbani, lakini ameamua kushini jijini Addis Ababa na marafiki zake.

Bw Yassin Juma, ambaye alipata virusi vya corona, aliruhusiwa kutoka kwenye eneo ya kujitenga baada ya kumaliza siku 14 za kujitenga.

Ubalozi wa Kenya Ethiopia alisema kwamba Bw Juma, ambye jina lake kamili ni Collins Juma Osemo alikuwa huru kurudi  nyumbani baada ya kuachiliwa kutoka kituo cha polisi na kituo cha afya cha Woreda ambapo alikuwa ametengwa.

“Aliachiliwa Jumatano Agosti 26 2020. Wakati aliachiliwa alikuwa keshamaliza siku za kujitenga 14 ujumbe kutoka maswala ya nchi za kigeni ulisema.”

 

 

  • Tags

You can share this post!

Mwangi wa Iria kukamatwa na kuwasilishwa kwa seneti

Corona yamzuia Waititu kufika kortini