Tag: GIDEON MOI
- by adminleo
- June 8th, 2020
Ruto amzaba Gideon kofi la kwanza la kisiasa
FLORAH KOECH na WYCLIFF KIPANG NAIBU Rais, Dkt William Ruto ameanza kuthibitisha kuwa angali anadhibiti eneo la Rift Valley lililo ngome...
- by adminleo
- April 12th, 2020
Safari ya Moi ikuluni yawa telezi Ruto akizidi kutia kibindoni wafuasi
Na CHARLES WASONGA HARAKATI za Seneta wa Baringo, Gideon Moi za kutaka kutwaa wadhifa wa kigogo wa siasa katika jamii ya Kalenjin baada...
- by adminleo
- February 12th, 2020
Gideon arithi rungu la Mzee
Na JUMA NAMLOLA MTOTO mkubwa wa Mzee Moi, Raymond alimpokeza rasmi mdogo wake fimbo ya baba yao. Mbunge huyo wa Rongai, alimkabidhi...
- by adminleo
- February 10th, 2020
Wania urais 2022, mawaziri wa zamani wamshauri Gideon Moi
Na LEONARD ONYANGO VIONGOZI waliohudumu katika serikali ya Rais Mstaafu Daniel arap Moi sasa wanamtaka mwanawe Seneta wa Baringo Gideon...
- by adminleo
- September 10th, 2019
Mbunge adai Moi alitawazwa na matapeli
Na DENNIS LUBANGA MBUNGE wa Mlima Elgon Fred Kapondi, amepuuzilia mbali hatua ya baadhi ya wazee wa jamii ya Wasabaot kumtawaza Seneta...
- by adminleo
- August 30th, 2018
Usipake Mzee Moi tope lako la ufisadi, KANU yamuonya Waiguru
WYCLIFFE MUIA na PETER MBURU CHAMA cha KANU kimemkemea vikali gavana wa Kirinyaga Bi Anne Waiguru kwa kujaribu kumpaka Rais Mustaafu...
- by adminleo
- June 26th, 2018
Moi taabani kukosa kuhudhuria hafla ya kanisa
FLORAH KOECH na WYCLIFFE KIPSANG MAZOEA ya Seneta wa Baringo, Bw Gideon Moi kuhudhuria karibu hafla zote za umma kwa helikopta,...
- by adminleo
- June 12th, 2018
Kalonzo na Moi wapanga kuungana wakilenga 2022
Na BONIFACE MWANIKI SENETA wa Baringo Gideon Moi na kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka, wameanza mikakati ya kutaka kubuni muungano mpya...
- by adminleo
- May 31st, 2018
Gideon Moi apewa mwezi mmoja kugura ofisi ambayo alitengewa
Na FLORAH KOECH SENETA Gideon Moi wa Baringo amepewa mwezi mmoja kugura ofisi ambayo alitengewa katika Bunge la Kaunti hiyo. Msajili...
- by adminleo
- May 9th, 2018
Pasta amfurusha mke kwa kutisha kusambaratisha kanisa
Na CORNELIUS MUTISYA NZAIKONI, MACHAKOS PASTA wa kanisa moja eneo hili alimfurusha mkewe akidai alikuwa amechoshwa na tabia yake ya...
- by adminleo
- May 6th, 2018
Gideon Moi akaangwa mazishini kwa ‘kukataza’ Ruto kusalimia babake
Na FLORAH KOECH MAGAVANA, maseneta na wabunge Jumamosi walimkabili vikali Seneta wa Baringo Gideon Moi kwa ‘kuhujumu’ azma ya Naibu...
- by adminleo
- April 22nd, 2018
JAMVI: Ni pata potea kwa wafuasi wa seneta Moi huku akisalia kimya kuhusu 2022
Na LEONARD ONYANGO KIMYA kirefu cha Seneta wa Baringo, Gideon Moi, kuhusiana na ikiwa atawania urais 2022 kimewaacha wengi na maswali...