Tag: pasta
Pesa za wizi hazina maana, akiri pasta
Na MWANGI MUIRURI PASTA Cyrus Njora wa Kanisa la Maximum Miracle Centre amefungua roho yake na kukiri jinsi alivyokuwa jambazi sugu...
Pasta kusubiri Yesu korokoroni
Na GEORGE MUNENE PASTA wa dhehebu la Akorino aliyewanajisi na kuwatunga mimba binti zake wawili wenye umri wa chini ya miaka 18, sasa...
- by adminleo
- April 11th, 2020
Mapasta washtaki serikali kuzuia ibada
Na MAUREEN KAKAH MAPASTA watatu wameelekea kortini kutaka agizo la kuondolewa marufuku ya kuendesha ibada, na badala yake hatua ziwekwe...
- by adminleo
- February 26th, 2020
Pasta adinda kuombea polo aliyekataa kuoa bintiye
Na John Musyoki OTHAYA, Nyeri Pasta wa kanisa moja eneo hili, alishangaza waumini alipodinda kumuombea jamaa aliyekataa kuoa binti...
- by adminleo
- January 9th, 2020
Pasta muuaji aliwahi kufungwa Shimo la Tewa
DERICK LUVEGA na GASTONE VALUSI PASTA aliyemuua mkewe kanisani kisha akajitoa uhai alikuwa ametumikia kifungo gerezani kwa kumtishia...
- by adminleo
- January 6th, 2020
Mhubiri ajiua baada ya kumsababishia mke majeraha yaliyomuua
DIANA MUTHEU na ANTHONY KITIMO MHUBIRI mmoja eneo la Bamburi, Kaunti ya Mombasa alijitoa roho Jumapili katika madhabahu ya kanisa lake,...
- by adminleo
- September 30th, 2019
Waziri ataka mapasta tapeli wahukumiwe kama wahalifu
NA CHARLES WANYORO WAZIRI Utumishi wa Umma Prof Margaret Kobia Jumapili amependekeza kwamba wahubiri wanaodai kuwa na uwezo wa kuwaombea...
- by adminleo
- August 24th, 2019
Mwanamume apokonywa mke na pasta aliyesimamia harusi yake
Na KNA MFANYABIASHARA mmoja kutoka eneo la Juja Farm, Kaunti ya Kiambu, anasononeka baada ya mkewe wa miaka 26 waliyejaliwa watoto...
- by adminleo
- July 15th, 2019
Mganga aonya pasta kwa kumchomea biashara
Na TOBBIE WEKESA HAMISI, VIHIGA KIOJA kilizuka eneo hili baada ya mganga kumshambulia pasta akimlaumu kwa kumharibia...
- by adminleo
- June 30th, 2019
Pasta mla fuska abanwa na kidosho
Na Leah Makena ISINYA, KAJIANDO Pasta wa hapa, alilazimika kumkabidhi kidosho mmoja sadaka iliyotolewa kanisani ili asianike vitendo...
- by adminleo
- June 19th, 2019
Ajabu ya magavana kuajiri mapasta kuwaombea
Na VALENTINE OBARA MAGAVANA wanawaajiri wahubiri wa kuwaombea na kuwapa ushauri wa kiroho kwa mshahara wa hadi Sh1.7 milioni kwa mwaka,...
- by adminleo
- May 23rd, 2019
Pasta afumaniwa na polisi akifukua miili ili auze shamba
Na PETER MBURU POLISI eneo la Naivasha, Kaunti ya Nakuru Alhamisi walimkamata mhubiri, baada ya kumfumania akifukua miili ya watu wa...