Habari

Shughuli za Nation Media Group Uganda kurejelewa kufuatia idhinisho la Rais Museveni

July 28th, 2026 Kusoma ni dakika: 1

SHUGHULI za Nation Media Group nchini Uganda sasa zitarejelewa baada ya idhinisho kutoka kwa Rais Museveni, kampuni ya Taarifa Group imetangaza.

Akitoa tangazo hilo, mwenyekiti Rostam Azizi alieleza kwamba shirika hilo limejitolea kuendeleza uanahabari ambao unagusa maisha ya wananchi.

Maelezo zaidi yanafuata…