Habari
Shughuli za Nation Media Group Uganda kurejelewa kufuatia idhinisho la Rais Museveni
Mwenyekiti wa Taarifa Group, iliyo mmiliki wa kampuni ya Nation Media Group Rostam Azizi (kushoto) na kulia ni Rais Yoweri Museveni. Picha|Maktaba
SHUGHULI za Nation Media Group nchini Uganda sasa zitarejelewa baada ya idhinisho kutoka kwa Rais Museveni, kampuni ya Taarifa Group imetangaza.
Akitoa tangazo hilo, mwenyekiti Rostam Azizi alieleza kwamba shirika hilo limejitolea kuendeleza uanahabari ambao unagusa maisha ya wananchi.
Maelezo zaidi yanafuata…