Tag: uhispania
- by T L
- November 10th, 2021
Uhispania kutua Ugiriki leo vita vya Qatar 2022
ATHENS UGIRIKI Na MASHIRIKA Ugiriki watakuwa nyumbani leo usiku kualika Uhispania katika mechi Kundi B ya mchujo wa kufuzu kwa...
Ufaransa kukutana na Uhispania kwenye fainali ya UEFA Nations League baada ya kutoka nyuma na kuzamisha chombo cha Ubelgiji
Na MASHIRIKA THEO Hernandez alifunga bao mwishoni mwa kipindi cha pili na kusaidia mabingwa wa dunia Ufaransa kutoka chini kwa magoli 2-0...
Uhispania wakomesha rekodi ya kutopigwa kwa Italia katika mechi 37 na kufuzu kwa fainali ya UEFA Nations League
Na MASHIRIKA REKODI ya dunia ya Italia ya kutoshindwa katika mechi 37 ilipigwa breki kali na Uhispania waliowatandika 2-1 mnamo Jumatano...
Uhispania wakomoa Ivory Coast na kufuzu kwa nusu-fainali za Olimpiki dhidi ya wenyeji Japan
Na MASHIRIKA SUBIRA ya Uhispania kufuzu kwa nusu-fainali ya soka ya Olimpiki kwa mara ya kwanza baada ya miaka 21 iliwavutia heri baada...
Uhispania wazamisha Uswisi kupitia penalti na kufuzu kwa nusu-fainali za Euro
Na MASHIRIKA MABINGWA mara tatu wa Euro, Uhispania, waliwaondoa Uswisi kwenye robo-fainali za Euro mnamo Julai 2, 2021 kwa kuwapokeza...
Poland na Uhispania nguvu sawa kwenye Euro
Na MASHIRIKA FOWADI na nahodha Robert Lewandowski alifunga bao lake la kwanza kwenye fainali zinazoendelea za Euro na kusaidia timu ya...
Uhispania na Uswidi waumiza nyasi bure kwenye kipute cha Euro
Na MASHIRIKA LICHA ya Uhispania kutamalaki mchezo na kumiliki asilimia kubwa ya mpira uwanjani, kikosi hicho cha kocha Luis Enrique bado...
Uhispania wakabwa koo na Ugiriki
Na MASHIRIKA UHISPANIA walijikwaa katika mechi yao ya kwanza ya kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia baada ya kulazimishiwa sare ya 1-1...
Lazio wasajili ‘nyani’ mkongwe Pepe Reina
Na CHRIS ADUNGO LAZIO wamejinasia huduma za kipa mkongwe mzawa wa Uhispania, Pepe Reina, 38, kwa mkataba wa miaka miwili. Hii ni...
- by adminleo
- July 5th, 2020
Nyani Iker Casillas asema ‘tosha gari’ katika ulingo wa soka
Na CHRIS ADUNGO NAHODHA na kipa Iker Casillas aliyewaongoza Uhispania kutwaa Kombe la Dunia mnamo 2010 nchini Afrika Kusini, amestaafu...
- by adminleo
- May 21st, 2020
Luis Enrique afananisha soka bila mashabiki uwanjani na densi ya mtu na dada yake
Na CHRIS ADUNGO KOCHA Luis Enrique wa timu ya taifa ya Uhispania amesema kwamba kucheza mpira ndani ya viwanja vitupu bila mashabiki...
- by adminleo
- May 20th, 2020
Mchezaji mkongwe zaidi kuwahi kufungia Uhispania astaafu soka
Na CHRIS ADUNGO MVAMIZI Aritz Aduriz ambaye ni mwanasoka mkongwe zaidi kuwahi kufunga bao ndani ya jezi ya timu ya taifa ya Uhispania,...