TAIFA LEO Logo
  • Habari
    • Habari za Kitaifa
    • Habari za Kaunti
    • Kimataifa
  • Siasa
  • Maoni
  • Makala
    • Afya na Jamii
    • Lugha, Fasihi na Elimu
    • Akili Mali
    • Jamvi La Siasa
    • Shangazi Akujibu
    • Bambika
    • Pambo
    • Dimba
  • Dondoo
  • Bi Taifa
  • Mashairi
  • Michezo
  • NIE Shuleni
  • ePaper
NiE Shuleni

Shule ya AIC Moi Girls, Makueni

February 5th, 2026 Hamasisho la Magazeti katika ufunzaji wa Kiswahili lilipotua Makueni, katika Shule ya AIC Moi Girls, Kibwezi.
Wanafunzi wa Shule ya Upili ya Wasichana ya AIC Moi Girls Kibwezi wafurahia kupigwa picha baada ya kupewa zawadi ya T-shirt wakati wa zoezi la hamasisho la NIE lililofanyika shuleni humo. Julai 15, 2025. PICHA|BRIAN NZIOKI
Furaha tele kwa wanafunzi wa Moi Girls Kibwezi wakati wa hamasisho la NIE. PICHA|BRIAN NZIOKI
Naibu Mwalimu Mkuu wa Moi Girls (kati) ajumuika na walimu wengine kuchambua magazeti ya Taifa Leo na Nation wakati wa hamasisho la NIE shuleni humo. PICHA|BRIAN NZIOKI
Tabasamu na bashasha zikitawala miongoni mwa walimu wa AIC Moi Girls Kibwezi walipopiga picha ya pamoja baada ya hamasisho la NIE, zoezi lililolenga kuimarisha utamaduni wa usomaji shuleni humo. PICHA|BRIAN NZIOKI
TAIFA LEO Logo

Mitandao ya kijamii

Maarufu sana

Baba aua watoto wake 2 kwa kuwapa yoghurt yenye sumu, na kisha kujinyonga

April 16th, 2026

Hofu yaibuka kwamba wauzaji wanahodhi mafuta baadhi wakiuza hadi Sh450 kwa lita

April 14th, 2026

Ni kubaya, kaza mshipi wako; bei za mafuta zaweza kuleta masaibu mapya ya kiuchumi

April 16th, 2026

Usikose

Damu changa zinazotishia vigogo wa kisiasa 2027

April 21st, 2026

Mchuuzi aliyepiga guu kilomita 250 kuja Nairobi kutafuta karo ya chuo apata ahadi kadhaa

April 21st, 2026

Mwanasayansi chipukizi anayetengeneza mafuta ya ethanol kutoka kwa maganda ya mananasi

April 21st, 2026
Copyright © 2026 Nation Media Group. All rights reserved.