TAIFA LEO Logo
  • Habari
    • Habari za Kitaifa
    • Habari za Kaunti
    • Kimataifa
  • Siasa
  • Maoni
  • Makala
    • Afya na Jamii
    • Lugha, Fasihi na Elimu
    • Akili Mali
    • Jamvi La Siasa
    • Shangazi Akujibu
    • Bambika
    • Pambo
    • Dimba
  • Dondoo
  • Bi Taifa
  • Mashairi
  • Michezo
  • NIE Shuleni
  • ePaper
NiE Shuleni

Shule ya Upili ya Boror, Salgaa, Nakuru

February 12th, 2025
Wanafunzi wakimakinikia matukio na mawasilisho mbalimbali wakati wa hamasisho la mradi wa Newspapers in Education (NiE) katika Shule ya Upili ya Boror iliyoko Salgaa, Kaunti ya Nakuru.
Afisa wa mauzo wa NMG, Bw Kennedy Mutinda (kushoto) akiongoza baadhi ya walimu wa Shule ya Upili ya Boror kusoma magazeti ya Taifa Leo. PICHA| CHRIS ADUNGO
Ilikuwa mbwembwe na hekaheka za kila sampuli miongoni mwa wanafunzi hawa wa Shule ya Upili ya Boror wakati wa hamasisho la NiE. PICHA| CHRIS ADUNGO
Wanafunzi wa Shule ya Upili ya Boror, Salgaa, Kaunti ya Nakuru wakiwania fursa ya kujibu maswali ya chemshabongo wakati wa hamasisho la NiE. PICHA| CHRIS ADUNGO
Wanafunzi wa Shule ya Upili ya Boror, Salgaa, Kaunti ya Nakuru wakisikiliza kwa makini mawasilisho mbalimbali wakati wa hamasisho la NiE. PICHA| CHRIS ADUNGO
Wanafunzi wa Shule ya Upili ya Boror iliyoko Salgaa, Kaunti ya Nakuru, wakifurahia kupigwa picha wakati wa hamasisho la mradi wa Newspapers in Education (NiE). PICHA| CHRIS ADUNGO
TAIFA LEO Logo

Mitandao ya kijamii

Maarufu sana

Wataalam waelezea hofu ya kaswende kukosa kugunduliwa mapema kwa wanawake

June 11th, 2026

Afrika inavyoweza kuziba pengo la Dola 90 bilioni katika ufadhili wa kilimo

June 13th, 2026

Mfumo mpya wa ufadhili wa elimu kuwafaidi vijana wengi nchini

June 16th, 2026

Usikose

KOMBE LA DUNIA: Senegal kazi ngumu, naye Messi asisimua dunia

June 17th, 2026

Aliyekuwa mhudumu wa benki anavyoigeuza nazi za Pwani kuwa ajira na utajiri

June 17th, 2026

PROF IRIBE: Ilifurahisha kumwona Rais Samia akitumia Kiswahili kuhutubu safu ya kimataifa

June 17th, 2026
Copyright © 2026 Nation Media Group. All rights reserved.