TAIFA LEO Logo
  • Habari
    • Habari za Kitaifa
    • Habari za Kaunti
    • Kimataifa
  • Siasa
  • Maoni
  • Makala
    • Afya na Jamii
    • Lugha, Fasihi na Elimu
    • Akili Mali
    • Jamvi La Siasa
    • Shangazi Akujibu
    • Bambika
    • Pambo
    • Dimba
  • Dondoo
  • Bi Taifa
  • Mashairi
  • Michezo
  • NIE Shuleni
NiE Shuleni

Shule ya Upili ya Boror, Salgaa, Nakuru

February 12th, 2025
Wanafunzi wakimakinikia matukio na mawasilisho mbalimbali wakati wa hamasisho la mradi wa Newspapers in Education (NiE) katika Shule ya Upili ya Boror iliyoko Salgaa, Kaunti ya Nakuru.
Afisa wa mauzo wa NMG, Bw Kennedy Mutinda (kushoto) akiongoza baadhi ya walimu wa Shule ya Upili ya Boror kusoma magazeti ya Taifa Leo. PICHA| CHRIS ADUNGO
Ilikuwa mbwembwe na hekaheka za kila sampuli miongoni mwa wanafunzi hawa wa Shule ya Upili ya Boror wakati wa hamasisho la NiE. PICHA| CHRIS ADUNGO
Wanafunzi wa Shule ya Upili ya Boror, Salgaa, Kaunti ya Nakuru wakiwania fursa ya kujibu maswali ya chemshabongo wakati wa hamasisho la NiE. PICHA| CHRIS ADUNGO
Wanafunzi wa Shule ya Upili ya Boror, Salgaa, Kaunti ya Nakuru wakisikiliza kwa makini mawasilisho mbalimbali wakati wa hamasisho la NiE. PICHA| CHRIS ADUNGO
Wanafunzi wa Shule ya Upili ya Boror iliyoko Salgaa, Kaunti ya Nakuru, wakifurahia kupigwa picha wakati wa hamasisho la mradi wa Newspapers in Education (NiE). PICHA| CHRIS ADUNGO
TAIFA LEO Logo

Mitandao ya kijamii

Maarufu sana

Wasuka mikakati kuhama Kenya Kwanza

June 29th, 2025

Babu Owino asema amepokonywa walinzi baada ya kushiriki maandamano

June 26th, 2025

Juni 25, 2025: Picha za matukio ya maandamano ya Gen Z

June 25th, 2025

Usikose

Matumaini ya kuuza mifugo ng’ambo kupitia bandari ya Lamu yaanza kufifia

July 1st, 2025

Nyanya shujaa apambana na fisi kichakani na kufaulu kukinga wajukuu wake wadogo wasitafunwe

July 1st, 2025

Gachagua aonywa anaweza kushtakiwa ikibainika alihusika na ghasia za maandamano

July 1st, 2025
Copyright © 2025 Nation Media Group. All rights reserved.