Hilda Akumu mwenye umri wa miaka 28 ni mwanamitindo kutoka Uasin Gishu.Uraibu wake kusafiri na kushiriki kwenye majukwaa ya...
Beth Padao mwenye umri wa miaka 23, ni mwigizaji wa filamu na mfanyibiashara kutoka kaunti ya Nakuru.Uraibu wake ni kusafiri, kuogelea na...
MGENI wetu ni Jaquiline Cheruiyot, 26. Ni mtaalam wa mapambo kutoka Nakuru.Uraibu wake ni kutazama filamu, kusoma na kucheza voliboli....
MAUREEN Morena, 22, ni mwigizaji wa filamu kutoka Nakuru. Anapenda kupatana na marafiki wapya na kuogelea. Picha/ Richard Maosi
MAURINE Nzalambi Linton, 21, ni mzaliwa wa Kaunti ya Mombasa. Uraibu wake ni kutazama mchezo wa kandanda, kusoma na kujumuika na marafiki...
ALICE Wangare mwenye umri wa miaka 22 ni mfanyabiashara na mwanafasheni kutoka mjini Nakuru. Uraibu wake ni kuandaa keki, kuogelea na...
ZELIHA Wamboi, 24, kutoka jijini Nairobi ndiye anatupambia ukurasa leo. Anapenda kutazama filamu na kusikiliza muziki. Picha/ Richard Maosi
BRIDGIT Regina, 22, ni mwanafasheni kutoka jijini Nairobi. Anapenda kusafiri, kujumuika na marafiki na kuogelea. Picha/ Richard Maosi
MGENI wetu leo ni Bi Luria Mercy ambaye ni mzaliwa na mfanyabiashara mjini Elburgon, Kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kusafiri, kusoma na...
CATHERINE Muthoni, 22, ndiye anayetupambia ukurasa huu leo. Bi Muthoni aliye mkazi wa Nyahururu anapenda kujumuika na marafiki, kusafiri...
WEMA JEROP ndiye anayetupambia ukurasa wetu leo. Yeye ni mfanyabiashara kutoka Baringo. Uraibu wake ni kuogelea na kusafiri. Picha/...