PARIS THUO, 21, ni mwanafunzi wa uanahabari katika Chuo Kikuu cha Maasai Mara. Uraibu wake ni kusoma riwaya, kutazama filamu na kupiga...
MGENI wetu leo ni Sharon Mbaika, 21. Ni mzaliwa wa Kitui. Yeye ni mwanafasheni. Uraibu wake ni kushiriki kwenye majukwaa ya mapambo,...
JACKLINE Nyawira, 20, ni mzaliwa wa Nyeri. Yeye ni mwanafunzi katika chuo kikuu cha Kenyatta kwa sasa anakosomea udaktari. Uraibu wake ni...
DAMARIS Wangoi, 23, kutoka Nakuru ndiye anatupambia ukurasa leo. Yeye ni mjuzi wa masuala ya vipodozi. Uraibu wake ni kutazama filamu za...
MARGARET Nyambura, 22, ni mkazi wa Free Area, Kaunti ya Nakuru. Ni mfanyabiashara na uraibu wake ni kuogelea, kusafiri na kusakata densi....
RUTH Mukami ni mfanyabiashara mjini Elburgon katika Kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kusafiri na kuimba. Picha/ John Njoroge
EUNICE Wambui, mfanyabiashara mjini Nakuru ndiye anayetupambia ukurasa huu hii leo. Uraibu wake ni kusafiri, kusikiliza muziki na...
ESTHER Wanjiru, 22, ndiye mgeni wetu leo. Yeye ni mwanafasheni na mkazi wa mtaa wa Barnabas eneo la Lanet. Uraibu wake ni kuogelea na...
JILL AMONDI, 21, ni mwanamitindo wa Beauty Therapy kutoka Kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kucheza voliboli na kusakata densi. Picha/...
Margaret Njeri 22, ni mkazi wa eneo la Lanet, Kaunti ya Nakuru. Yeye ni mwanamitindo na mwanahabari chipukizi. Uraibu wake ni kusafiri na...
Everlyn Mugo 22, ni mkazi wa eneo la Umoja Lanet, Nakuru na amepiga hatua katika tasnia ya uanamitindo .Uraibu wake ni kusikiliza muziki wa...
Njehia Waringa 22, ni mkazi wa eneo la Freehold kaunti ya Nakuru. Yeye ni mwanafunzi katika Chuo Cha JKUAT Nairobi. Uraibu wake ni kusoma...