Yvonne Mirera 22, ni mzaliwa wa Kakamega. Uraibu wake ni kujumuika na marafiki na kucheza soka. Picha/Richard Maosi
Becky Makaka mwenye umri wa miaka 21, ndiye anatupambia wavuti letu leo. Yeye ni mkazi wa eneo la Kenlands kaunti ya Nakuru. Mbali na kuwa...
Najib Dollow ni mzaliwa wa kaunti ya Nakuru kwa sasa amehitimu miaka 28.Yeye ni mfanyibiashara na mwanafasheni. Uraibu wake ni kutazama...
Wendy Gakii mwenye umri wa miaka 27 ni mzaliwa wa Chuka kaunti ya Meru. Anapenda kusafiri na kutazama filamu. Picha/Richard Maosi
Faith Sonoi, 24, ni mkazi wa mtaa wa Shabbab kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kucheza magongo na kujumuika na marafiki. Picha/Richard Maosi
Winnie Soyo, 25, ni mzaliwa wa kaunti ya Kericho. Uraibu wake ni kuzuru mbuga za wanyama na kukutana na marafiki wapya. Picha/Richard Maosi
Hannah Koi Mark, 22,ni mwenyeji wa kaunti ya Taita Taveta, yeye ni mlimwende wa mitindo ya kiasili na mtafiti wa fasheni. Uraibu wake ni...
Hanna Njeri mwenye umri wa 23 ni mfanyibiashara kutoka kaunti ya Nakuru. Mbali na kujihusisha na ulimwende anapenda kusakata densi na...
Malkia wetu anajulikana kama Monica Maina, amehitimu miaka 26. Yeye ni mzaliwa wa Kitale. Uraibu wake ni kusafiri, kupika na kutazama...
Ann Nyokabi amehitimu miaka 26, yeye ni mfanyibiashara kutoka Kitale. Uraibu wake ni kusikiliza muziki na kutazama filamu. Picha/Richard...
As storm season intensifies, the paths of former storm...
Sparks fly in all directions as marketing maven Kelly...
Gru and Lucy and their girls â Margo, Edith and Agnes...