• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 6:00 PM

Maandamano: Jinsi polisi walivyozima mkakati wa Mwangi Wa Iria

NA MWANGI MUIRURI  MAAFISA wa polisi waliweka vizuizi vya barabara katika miji ya Murang'a na Kabuta ili kumzuia aliyekuwa Gavana wa...

Wakenya tulieni tuko na ‘plan’, asema Alfred Mutua

NA MWANDISHI WETU SERIKALI imesema kwamba swala la kupanda kwa gharama ya maisha si tatizo la Kenya peke yake kwani hata mataifa mengine...

Mwanamume aliyepatikana na bangi aangua kilio kwa kutozwa faini ya Sh800,000

NA MWANGI MUIRURI MWANAMUME mmoja wa kutoka kijiji cha Kamahuha aliangua kilio mahakamani Julai 18, 2023 alipopigwa faini ya Sh800,000...

Jinsi wanafunzi wa Chadwick walivyonogesha tamasha za muziki kanda ya Pwani

NA SIAGO CECE WANAFUNZI kutoka eneo la Pwani walipata fursa ya kuonyesha vipaji vyao katika tamasha za muziki zilizoandaliwa katika ukumbi...

Ruto akosolewa kupeana hatimiliki kwa wanahisa Embakasi Ranching

NA MWANGI MUIRURI WAKURUGENZI wa mradi wa mashamba ya Embakasi sasa wamemkosoa Rais William Ruto kwa madai ya kukiuka maagizo ya...

Magari ya zimamoto yagongana kabla kuzinduliwa

NA ALEX KALAMA  MAGARI mawili mapya ya zimamoto yaliyokuwa yanatoka jijini Mombasa ili kuzinduliwa rasmi kwenye sherehe ya ufunguzi wa...

Krusedi ya Pasta Ezekiel yafutiliwa mbali Tanzania

Na ALEX KALAMA  Mchungaji Ezekiel Odero wa kanisa la New Life Kaunti ya Kilifi amepata pigo baada ya mkutano wake wa injili ambao...

Wakulima Mlima Kenya wamtaka Gachagua awatimizie ahadi alizotoa ili wakabiliane na upinzani

Na MWANGI MUIRURI  MUUNGANO wa wakulima kutoka eneo la kati umemtaka Naibu wa Rais Rigathi Gachagua aharakishe mabadiliko kuongeza...

Vijana wa UDA Mlima Kenya watoa onyo kwa Maina Njenga 

NA MWANGI MUIRURI  MUUNGANO wa vijana wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) sasa unamtaka aliyekuwa kinara wa kundi haramu la...

Wanawake wa kaunti waingie uongozini -Achani

NA MKAMBURI MWAWASI GAVANA wa Kaunti ya Kwale, Bi Fatuma Achani, amewataka wanawake katika kaunti hiyo wajiandae kuwania viti vya...

Waasi ODM walilia Ruto awaokoe

Na GEORGE ODIWUOR WABUNGE ‘waasi’ wa ODM wamelalamika kuwa baadhi ya wanachama wa chama chao wanawalenga kwa kuunga mkono serikali...

Idadi ya waliofariki Murang’a baada ya lori kupoteza mwelekeo yafika 2

NA MWANGI MUIRURI IDADI ya watu waliothibitishwa kufariki kufuatia tukio ambapo lori la kubeba mizigo lilipoteza mwelekeo na kuingia...