• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 3:03 PM

Ongezeko la wahuni wa ‘Marachi Boys’ kwenye mikutano ya kisiasa lazua hofu

NA JESSE CHENGE KAMISHNA wa Kaunti ya Bungoma, Thomas Sankei, ametoa tahadhari kuhusu ongezeko la wahuni wanaoshiriki maandamano pamoja...

Weta kukabili wimbi la ‘Tawe’ la Natembeya

NA MERCY SIMIYU JOTO la kisiasa linatokota Magharibi mwa Kenya huku mvutano wa ubabe ukionekana kuchipuka baina ya Spika wa Bunge la...

Wakazi wakerwa hafla ya msaada ilipogeuzwa kuwa mkutano wa hadhara

Na SAMMY KIMATU WAATHIRIWA wa mafuriko kutoka mitaa kadhaa ya Mukuru katika tarafa ya South B, Nairobi walipandwa na hasira, baada ya...

Nashuku mke wangu anamgawia bosi wake asali, nishauri

Hujambo Shangazi, Mimi nashuku mke wangu analala na bosi wake. Nina hasira sana. Unajuaje kuwa mkeo analala na bosi wake? Ikiwa una...

Bei ya kahawa nchini yaendelea kuimarika

Na KNA KAHAWA ya Kenya imeendelea kuvutia bei katika Soko la Kahawa la Nairobi (NCE) kwa muda wa wiki mbili zilizopita. Wakati wa mauzo...

Raia wa Congo kusalia rumande katika kesi ya utapeli wa Sh156m kwenye dili ya madini

Na RICHARD MUNGUTI RAIA wa Congo anayeshtakiwa kuitapeli kampuni ya kutengeneza chuma Sh156 milioni akidanganya angeliiuzia madini adimu...

Maafisa watatu wa ardhi ya Mavoko iliyokumbwa na ubomozi wasukumwa ndani

Na RICHARD MUNGUTI HATIMAYE mkono mrefu wa sheria umewakamata maafisa watatu wa kampuni ya ununuzi mashamba inayodaiwa ilinyakua shamba...

Vibanda vyachomwa mzozo kuhusu mji wa Keroka ukichacha

NA WYCLIFFE NYABERI HALI ya sintofahamu inazidi katika mji wa Keroka unaozozaniwa na kaunti za Kisii na Nyamira baada ya vibanda vya...

Majonzi ya mama aliyepoteza kifungua na kitinda mimba kwenye ajali

Na MERCY KOSKEI FAMILIA moja ya Nakuru inaomboleza vifo vya kifungua na kitinda mimba waliongamia katika ajali ya barabarani iliyoangamiza...

Mvulana wa miaka 14 azuiliwa kwa madai ya kunajisi makinda mawili

NA TITUS OMINDE MAPEMA wiki, hii mahakama ya Eldoret iliamuru kuzuiliwa kwa mvulana mwenye umri wa miaka 14 anayeshukiwa kunajisi watoto...

Mfanyabiashara akana kutoa hundi feki ya mamilioni

NA RICHARD MUNGUTI MFANYABIASHARA alishtakiwa mnamo Jumanne, Aprili 9, 2024 kwa kulipa deni la Sh999,000 akitumia hundi akijua akaunti...

Kukamilika kwa mwezi Mtukufu wa Ramadhani kusiwe mwisho wa ibada

NA JUMA NAMLOLA KWANZA hatuna budi kurejesha shukurani kwa Mwenyezi Mungu (SWT) kwa kutupa nafasi ya kushiriki katika ibada kubwa ya...