• Nairobi
  • Last Updated December 9th, 2023 7:54 PM

Raila: Utawala wa kimikoa ufutiliwe mbali

NA WYCLIFFE NYABERI KINARA wa ODM Raila Odinga amesema utawala wa zamani wa kimikoa maarufu kama Provincial Administration unafaa...

Wanafunzi wa vyuo wanavyomezea mate mijibaba

NA RICHARD MAOSI WAMILIKI wa vilabu wanalalamikia ongezeko la idadi ya mabinti wa vyuo vikuu Nairobi wanaotembea na wanaume wazee rika ya...

Samidoh ampa mfuasi wake tonge la majibu

NA MERCY KOSKEI MWANAMUZIKI tajika wa nyimbo za Mugithi, Samuel Muchoki maarufu kama Samidoh amewaacha mashibiki wake wanaomfuatilia...

Serikali kutambua rasmi vazi la uponyaji la Mijikenda lililokuwa hatarini kuibwa

NA MAUREEN ONGALA WAZIRI wa Jinsia Aisha Jumwa amesema serikali ya kitaifa imelinda rasmi vazi la jamii ya Mijikenda la Kishutu. Vazi...

Punda wagonjwa wachinjwa Gatundu nyama yao ikiingizwa jijini Nairobi

NA MWANGI MUIRURI KILO nyingine zaidi ya 3,000 za nyama ya punda zinakisiwa kupenyezwa katika soko la jiji la Nairobi baada ya wezi wa...

Riggy G akemewa kupeleka siasa za Mungiki hafla ya heshima ya mwimbaji Samidoh

Na JOHN NJOROGE Wakazi wa Molo katika Kaunti ya Nakuru wamekashifu hatua ya Naibu Rais Rigathi Gachagua kugeuza jukwaa la hadhi ya...

Namtamani mfanyakazi wangu kimapenzi lakini amenikataa, anatisha kuacha kazi. Nishauri

SHANGAZI, Nimevutiwa kimapenzi na mwanamke mfanyakazi wangu. Nimemfungulia moyo wangu lakini amekataa na kunionya niachane naye la sivyo...

Wafanyakazi ‘hewa’ waliotimuliwa na Gavana Wanga wapata mtetezi

NA GEORGE ODIWUOR KUNDI moja la kutetea haki za kibinadamu limetetea watu 1,786 waliotajwa na serikali ya kaunti ya Homa Bay kama...

Kiongozi wa wengi Kiambu nje, Karani wa Machakos akiponea

NA RICHARD MUNGUTI JUHUDI za Kiongozi wa Wengi katika kaunti ya Kiambu aliyetimuliwa kurejeshewa wadhifa wake zimegonga mwamba huku kwa...

Sherehe za utamaduni zanoga mji wa kale wa Lamu usalama ukiimarishwa

KALUME KAZUNGU NA MKAMBURI MWAWASI TAMASHA ya awamu ya 21 ya Utamaduni wa Lamu zimeendelea kunoga kisiwani Lamu, wenyeji, wageni na...

Mawaidha ya Kiislamu: Tuthibitishe tunamhusudu Mungu kupitia kwa matendo yetu

NA HAWA ALI SIFA zote njema anastahiki Mwenyezi Mungu Subuhaanahu wata’ala, mwingi wa rehema na mwenye kurehemu. Swala na salamu...

Waliovunjiwa nyumba mtaa wa kifahari waanza kuhangaikia fidia

NA KNA Kaunti ya Kakamega itaungana na Chama cha Mawakili nchini Kenya (LSK) kama mhusika katika kesi ya kuhakikisha familia...