Form ni kuoga na kurudi soko, Edday mke wa Samidoh ashauriwa

NA SAMMY WAWERU   EDDAY Nderitu, mke wa kwanza wa mwanamuziki wa nyimbo za Mugithi, Samuel Muchoki maarufu kama Samidoh ameshauriwa...

Seneti kuwachukulia hatua wanaochelewesha miradi ya kaunti licha ya kubugia mamilioni

NA MARY WANGARI SENETI imependekeza kuchukua hatua za kisheria dhidi ya mashirika na wafanyabiashara wanaochelewesha miradi ya kaunti...

Mwezi mzima bila masomo katika JSS

NA WAANDISHI WETU MWEZI mmoja tangu wanafunzi wajiunge na Sekondari ya Msingi (JSS), wengi wao katika shule za umma wamekuwa wakihudhuria...

Shauri yako kidosho akila ‘fare’

TITUS OMINDE Na PATRICIA KIABI IDADI ya wanaume wanaokimbilia kortini kuwashtaki wanawake ‘wanaokula’ nauli zao imeongezeka mjini...

Bonde laibukia kuwa ngome maarufu ya pombe bandia

NA VITALIS KIMUTAI BONDE la Ufa limeibukia kuwa ngome ya kutengeneza pombe bandia licha ya msako mkali wa serikali dhidi ya wasambazaji,...

TANZIA: Msanii wa TikTok afariki katika ajali ya barabarani Kericho

NA VITALIS KIMUTAI MWIGIZAJI mashuhuri katika mtandao wa kijamii wa Tiktok Kevin Oselu, almaarufu Baba Mona, na watu wawili walioaminika...

Nimekuachia Mungu, Samidoh aambiwa na mke kwa sababu ya kuchepuka

NA SAMMY WAWERU NDOA ya mwimbaji wa nyimbo za Mugithi, Samuel Muchoki maarufu kama Samidoh iko kwenye mizani. Hii ni baada ya mke wa...

Bei ya stima itapanda mpende msipende, mshauri wa Ruto aambia Wakenya

Na LEONARD ONYANGO MATUMAINI ya Wakenya kupata umeme nafuu huenda yakadidimia baada ya serikali ya Kenya Kwanza kushikilia kuwa haina...

Hatukuahidi kupunguza bei ya stima, mshauri wa Ruto kuhusu uchumi David Ndii asema

[caption id="attachment_119544" align="alignnone" width="500"] Mshauri wa masuala ya uchumi katika Ikulu David Ndii na ujumbe wa Twitter...

Uhuru asema waangalizi wako macho nchini Nigeria

NA WINNIE ONYANDO RAIS (Mstaafu) Uhuru Kenyatta ambaye anaongoza ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi Nigeria amehakikishia nchi hiyo uchaguzi...

Mshtuko jamaa ‘aliyezikwa’ akijitokeza

NA SHABAN MAKOKHA FAMILIA moja katika Kaunti ya Kakamega imekumbwa na mshtuko baada ya kuzika mwili wa mtu mwingine kimakosa ikifikiri ni...

Mahakama yakataa kuagiza kesi dhidi ya Obado ianze upya

NA RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA gavana wa Migori Okoth Obado (pichani) amepata pigo kubwa mahakama ilipokataa kuamuru kesi ya ufisadi wa...