• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 9:15 PM

Waumini washtuka pasta wao kupigwa risasi kwa madai ya kuwa jambazi sugu

NA KITAVI MUTUA WASHIRIKA wa kanisa moja katika Kaunti ya Kitui, ambalo pasta wake alipigwa risasi na polisi kwenye kwa dai la kuhusika...

Mudavadi ameza ndoano ya UDA

Na JUSTUS OCHIENG RAIS William Ruto anaandaa mpango thabiti wa kuinua Mkuu wa Mawaziri Musalia Mudavadi baada ya kuibuka kuwa waziri huyo...

Familia 2,600 kufurushwa Mukuru-Mariguini kupisha ujenzi wa Nyumba Nafuu

NA SAMMY KIMATU FAMILIA 2,600 katika mtaa wa mabanda wa Mukuru-Mariguini katika tarafa ya South ‘B’, kaunti ndogo ya Starehe...

Mwalimu mwanablogu Kisii alinyongwa – Upasuaji

NA WYCLIFFE NYABERI MWALIMU mwanablogu wa Kisii Duke Nyabaro, 31, ambaye mwili wake ulipatikana ukining'inia nje ya kibanda saa chache...

Wawili watiwa mbaroni kwa kuangamiza msichana na kujeruhi dadake Kisii

NA WYCLIFFE NYABERI POLISI eneo la Nyamache, Kaunti ya Kisii wamewatia mbaroni washukiwa wawili waliovamia nyumba ya Bw Orenge Nyabuto...

Chifu na mwanawe taabani kwa tuhuma za mauaji ya mfanyakazi

NA KITAVI MUTUA MAKACHERO katika Kaunti ya Kitui wanachunguza kisa cha Chifu wa lokesheni ya Kavuta eneo la Kitui ya Kati na mwanawe...

Betty Kyallo alaumu mazingira magumu ya biashara kwa duka lake kunadiwa

NA FRIDAH OKACHI MFANYABIASHARA Betty Kyalo, amefichua sababu za kushindwa kulipa kodi ya duka analomiliki, Flair by Betty salon katika...

Afisa wa polisi afyatua risasi kuhepa na deni la pombe

NA WYCLIFFE NYABERI POLISI eneo la Transmara, Kaunti ya Narok wanachunguza kisa ambapo afisa wa kitengo cha RDU (Rapid Deployment Unit)...

Watawa walalamikia visa vya wakongwe kutelekezwa jamaa zao zikihamia mijini

NA WAIKWA MAINA WATAWA wa Kanisa Katoliki wamelalamikia idadi kubwa ya visa ambapo wakongwe wanatelekezwa na jamaa zao katika kaunti za...

Huzuni 4 wakifariki kwenye ajali nyingine Meru

NA WANDERI KAMAU WATU wanne walithibitishwa kufariki Jumapili, Aprili 7, 2024, baada ya basi walimokuwa wakisafiria kuanguka katika...

Kitendawili cha kifo cha mwalimu mwanablogu aliyepatikana amefariki

NA WYCLIFFE NYABERI POLISI mjini Kisii wameanzisha uchunguzi kuhusu kifo cha mwalimu, ambaye mwili wake ulipatikana ukining'inia kwenye...

MAHUBIRI: Yesu yu pamoja nasi siku zote, usihofu chochote

NA PADRI KAMUGISHA ASIYEKUWEPO na lake halipo. “Tunapokombolewa kutoka katika hofu zetu, uwepo wetu moja kwa moja unawakomboa...