NA MWANGI MUIRURI MWANAFUNZI wa kiume wa miaka 17 kutoka Kaunti ya Kirinyaga ametiwa mbaroni kwa madai alimuua binamuye wa kike wa miaka...
NA BRIAN OCHARO MWANABLOGU aliyeshtakiwa kuchapisha taarifa za kupotosha kuwa Gavana wa Kilifi Gideon Mung’aro aliibiwa Sh200 milioni...
NA CHRIS ADUNGO KIUNGO mkabaji wa Sheffield United na timu ya taifa ya Brazil, Vinicius de Souza Costa, ameachwa kwa mataa baada ya...
NA JESSE CHENGE KAMISHNA wa Kaunti ya Bungoma, Thomas Sankei, ametoa tahadhari kuhusu ongezeko la wahuni wanaoshiriki maandamano pamoja...
NA MERCY SIMIYU JOTO la kisiasa linatokota Magharibi mwa Kenya huku mvutano wa ubabe ukionekana kuchipuka baina ya Spika wa Bunge la...
Na SAMMY KIMATU WAATHIRIWA wa mafuriko kutoka mitaa kadhaa ya Mukuru katika tarafa ya South B, Nairobi walipandwa na hasira, baada ya...
Hujambo Shangazi, Mimi nashuku mke wangu analala na bosi wake. Nina hasira sana. Unajuaje kuwa mkeo analala na bosi wake? Ikiwa una...
Na KNA KAHAWA ya Kenya imeendelea kuvutia bei katika Soko la Kahawa la Nairobi (NCE) kwa muda wa wiki mbili zilizopita. Wakati wa mauzo...
Na RICHARD MUNGUTI RAIA wa Congo anayeshtakiwa kuitapeli kampuni ya kutengeneza chuma Sh156 milioni akidanganya angeliiuzia madini adimu...
Na RICHARD MUNGUTI HATIMAYE mkono mrefu wa sheria umewakamata maafisa watatu wa kampuni ya ununuzi mashamba inayodaiwa ilinyakua shamba...
NA WYCLIFFE NYABERI HALI ya sintofahamu inazidi katika mji wa Keroka unaozozaniwa na kaunti za Kisii na Nyamira baada ya vibanda vya...
Na MERCY KOSKEI FAMILIA moja ya Nakuru inaomboleza vifo vya kifungua na kitinda mimba waliongamia katika ajali ya barabarani iliyoangamiza...