• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 9:40 PM

Jinsi mfanyabiashara alivyosambaratishiwa kiwanda kwa kupewa bili kubwa ya stima kimakosa

Na EVANS JAOLA MFANYABIASHARA wa Kaunti ya Trans Nzoia alilazimika kufunga biashara aliyotumia Sh10 milioni kuanzisha baada ya...

Vituko vya mastaa: Mke sasa afichua Pogba amesusia miereka ya mle chumbani

NA CHRIS ADUNGO KIDOSHO Maria Zulay Salaues amemtaka mumewe Paul Pogba kujituma kiume katika masuala ya chumbani licha ya wingu jeusi...

Pombe ya mnazi si haramu hivyo wagema walindwe, Mbunge aambia Kindiki

Na WINNIE ATIENO MBUNGE wa Kilifi Kaskazini, Bw Owen Baya amemtaka Waziri wa Usalama Bw Kithure Kindiki kuweka bayana suala la vita dhidi...

Kisiki kipya kinachofanya aliyeteuliwa Naibu Gavana Kisii kusalia akimeza mate

NA WYCLIFFE NYABERI GAVANA wa Kisii Simba Arati(pichani) atalazimika kusubiri kwa muda zaidi kabla ya chaguo lake la Bw Elijah Obebo kama...

Mwanamume adaiwa kuingiza mfukoni Sh4m za kampuni akidai atawaletea sukari

Na RICHARD MUNGUTI MFANYABIASHARA ameshtakiwa kuilaghai kampuni Dola za Marekani (USD) 103,000 (Sh4,120,000) akidai anauza...

Serikali kujenga vyoo kwenye mbuga ‘kuvutia watalii zaidi’

NA STANLEY NGOTHO SERIKALI kuu itajenga vyoo vya kisasa na sehemu za kupumzika katika mbuga ya wanyamapori ya Amboseli ili kukuza utalii...

Mama aliyekaribisha Gachagua kunywa chai kwa kibanda chake apewa Sh100,000

NA JURGEN NAMBEKA MAISHANI mwake, Bi Asha Chengo, muuzaji wa vyakula kwenye kibanda kidogo katika bustani ya Mama Ngina iliyoko Mombasa,...

Shirika lataka wakuu wa madaktari wasukumwe jela kwa kugoma

Na RICHARD MUNGTUTI KITUO cha Sheria kinataka viongozi wa chama cha madaktari nchini (KMPDU) walioitisha mgomo ambao umeingia wiki ya tatu...

NASAHA ZA RAMADHANI: Tukague nafsi zetu msimu huu wa mfungo unapokaribia mwisho

NA JUMA NAMLOLA KWA jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye Kurehemu. Tuna kila sababu ya kumshukuru Allah (SWT) kutufikisha...

Mke aagizwa ashirikishe wapenzi wa kando wa mumewe katika usimamizi wa mali

BRIAN OCHARO NA LABAAN SHABAAN MJANE atawagawia wapenzi wa kando, mali ya thamani ya Sh54 milioni iliyoachwa na mume. Wanawake hao wawili...

Mama aacha mtoto hospitalini na kutoroka baada ya bili ya Sh23,000 kumlemea

Na MERCY KOSKEI MWANAMKE mmoja mwenye umri wa miaka 21 katika Kaunti ya Nakuru aliacha mtoto wake hospitalini na kutoroka baada ya...

Gereza laeleza kwa nini limemtenga Mackenzie na wafungwa wengine

NA BRIAN OCHARO IDARA ya magereza imekiri kuwa mshukiwa mkuu wa mauaji ya Shakahola, Paul Mackenzie, anatengwa na wafungwa wengine...