• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 6:50 AM

Pombe ya mnazi si haramu hivyo wagema walindwe, Mbunge aambia Kindiki

Na WINNIE ATIENO MBUNGE wa Kilifi Kaskazini, Bw Owen Baya amemtaka Waziri wa Usalama Bw Kithure Kindiki kuweka bayana suala la vita dhidi...

Kisiki kipya kinachofanya aliyeteuliwa Naibu Gavana Kisii kusalia akimeza mate

NA WYCLIFFE NYABERI GAVANA wa Kisii Simba Arati(pichani) atalazimika kusubiri kwa muda zaidi kabla ya chaguo lake la Bw Elijah Obebo kama...

Mwanamume adaiwa kuingiza mfukoni Sh4m za kampuni akidai atawaletea sukari

Na RICHARD MUNGUTI MFANYABIASHARA ameshtakiwa kuilaghai kampuni Dola za Marekani (USD) 103,000 (Sh4,120,000) akidai anauza...

Serikali kujenga vyoo kwenye mbuga ‘kuvutia watalii zaidi’

NA STANLEY NGOTHO SERIKALI kuu itajenga vyoo vya kisasa na sehemu za kupumzika katika mbuga ya wanyamapori ya Amboseli ili kukuza utalii...

Mama aliyekaribisha Gachagua kunywa chai kwa kibanda chake apewa Sh100,000

NA JURGEN NAMBEKA MAISHANI mwake, Bi Asha Chengo, muuzaji wa vyakula kwenye kibanda kidogo katika bustani ya Mama Ngina iliyoko Mombasa,...

Shirika lataka wakuu wa madaktari wasukumwe jela kwa kugoma

Na RICHARD MUNGTUTI KITUO cha Sheria kinataka viongozi wa chama cha madaktari nchini (KMPDU) walioitisha mgomo ambao umeingia wiki ya tatu...

NASAHA ZA RAMADHANI: Tukague nafsi zetu msimu huu wa mfungo unapokaribia mwisho

NA JUMA NAMLOLA KWA jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye Kurehemu. Tuna kila sababu ya kumshukuru Allah (SWT) kutufikisha...

Mke aagizwa ashirikishe wapenzi wa kando wa mumewe katika usimamizi wa mali

BRIAN OCHARO NA LABAAN SHABAAN MJANE atawagawia wapenzi wa kando, mali ya thamani ya Sh54 milioni iliyoachwa na mume. Wanawake hao wawili...

Mama aacha mtoto hospitalini na kutoroka baada ya bili ya Sh23,000 kumlemea

Na MERCY KOSKEI MWANAMKE mmoja mwenye umri wa miaka 21 katika Kaunti ya Nakuru aliacha mtoto wake hospitalini na kutoroka baada ya...

Gereza laeleza kwa nini limemtenga Mackenzie na wafungwa wengine

NA BRIAN OCHARO IDARA ya magereza imekiri kuwa mshukiwa mkuu wa mauaji ya Shakahola, Paul Mackenzie, anatengwa na wafungwa wengine...

Mateso mpaka lini? Sh2.4 bilioni zakosa kuridhisha madaktari kufuta mgomo

ANGELA OKETCH na RICHARD MUNGUTI WAKENYA wataendelea kuteseka kwa muda usiojulikana huku madaktari wakishikilia msimamo wao mkali wa...

Sababu za ODM kuiponda hatua ya maafisa wa KRA, KPLC kupewa kazi chamani UDA

NA WANDERI KAMAU CHAMA cha ODM kimemtaka mwenyekiti wa Bodi ya Halmashauri ya Kukusanya Ushuru Kenya (KRA), Bw Anthony Mwaura, kujiuzulu...