Na WINNIE ATIENO MBUNGE wa Kilifi Kaskazini, Bw Owen Baya amemtaka Waziri wa Usalama Bw Kithure Kindiki kuweka bayana suala la vita dhidi...
NA WYCLIFFE NYABERI GAVANA wa Kisii Simba Arati(pichani) atalazimika kusubiri kwa muda zaidi kabla ya chaguo lake la Bw Elijah Obebo kama...
Na RICHARD MUNGUTI MFANYABIASHARA ameshtakiwa kuilaghai kampuni Dola za Marekani (USD) 103,000 (Sh4,120,000) akidai anauza...
NA STANLEY NGOTHO SERIKALI kuu itajenga vyoo vya kisasa na sehemu za kupumzika katika mbuga ya wanyamapori ya Amboseli ili kukuza utalii...
NA JURGEN NAMBEKA MAISHANI mwake, Bi Asha Chengo, muuzaji wa vyakula kwenye kibanda kidogo katika bustani ya Mama Ngina iliyoko Mombasa,...
Na RICHARD MUNGTUTI KITUO cha Sheria kinataka viongozi wa chama cha madaktari nchini (KMPDU) walioitisha mgomo ambao umeingia wiki ya tatu...
NA JUMA NAMLOLA KWA jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye Kurehemu. Tuna kila sababu ya kumshukuru Allah (SWT) kutufikisha...
BRIAN OCHARO NA LABAAN SHABAAN MJANE atawagawia wapenzi wa kando, mali ya thamani ya Sh54 milioni iliyoachwa na mume. Wanawake hao wawili...
Na MERCY KOSKEI MWANAMKE mmoja mwenye umri wa miaka 21 katika Kaunti ya Nakuru aliacha mtoto wake hospitalini na kutoroka baada ya...
NA BRIAN OCHARO IDARA ya magereza imekiri kuwa mshukiwa mkuu wa mauaji ya Shakahola, Paul Mackenzie, anatengwa na wafungwa wengine...
ANGELA OKETCH na RICHARD MUNGUTI WAKENYA wataendelea kuteseka kwa muda usiojulikana huku madaktari wakishikilia msimamo wao mkali wa...
NA WANDERI KAMAU CHAMA cha ODM kimemtaka mwenyekiti wa Bodi ya Halmashauri ya Kukusanya Ushuru Kenya (KRA), Bw Anthony Mwaura, kujiuzulu...