• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 5:46 PM

Mvulana auawa kwa kupigwa risasi na majangili Pokot Magharibi

NA OSCAR KAKAI TAHARUKI inaendelea kutanda kwenye mpaka wa kaunti za Pokot Magharibi na Turkana baada ya mvulana wa umri wa miaka 12...

Wakulima Taita Taveta kujinyanyua na mbolea nafuu, upimaji udongo

NA LUCY MKANYIKA KATIKA miaka ya awali, Kaunti ya Taita Taveta ilikuwa ikilisha eneo la Pwani na maeneo mengine, kwa kutoa mazao safi kwa...

Walevi Kirinyaga wafurika Nyeri baa zao zikifungwa

NA STEPHEN MUNYIRI WALEVI wanatoka Kaunti Kirinyaga wameanza kufurika katika baa na vilabu mjini Karatina, Kaunti ya Nyeri kukata kiu yao...

Walioangamia katika ajali Nyakach sasa ni tisa

CHARLES WASONGA Na ANGELINE OCHIENG WATU wawili zaidi wameaga dunia kufuatia majeraha waliopata wakati wa ajali iliyotokea eneo la...

Kamati yabuniwa kuchunguza madai dhidi ya waziri wa Ardhi Taita Taveta

NA LUCY MKANYIKA BUNGE la Kaunti ya Taita Taveta limeunda kamati maalum ya kuchunguza madai ya ukiukaji wa maadili yanayomkabili Waziri...

Kucheleweshwa fidia ndio chanzo cha mikosi katika ujenzi wa barabara – Wazee

NA KALUME KAZUNGU WAZEE kutoka jamii ya walio wachache ya Waboni, Kaunti ya Lamu sasa inadai kucheleweshwa kwa fidia ya vipande vyao vya...

Wasiwasi wakulima wa nafaka Bondeni wakifikiwa na KRA

NA BARNABAS BII TAHARUKI imegubika wakulima wa nafaka katika eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa kuhusiana na mpango maalum wa kukusanya...

Mkasa mzito kwa familia kijana akiua mama, nyanya

NA GITONGA MARETE FAMILIA moja kutoka kijiji cha Ngeene, Kaunti ya Meru ilipata mshtuko baada ya kijana wa umri wa miaka 27 kuua mamake na...

Muuzaji wa gesi anyakwa kwa kuhatarisha maisha ya wakazi

NA SAMMY KIMATU MTU mmoja alikamatwa kwa kudaiwa kuendesha kituo haramu cha kuuza gesi akijua ni kinyume cha cheria na kuhatarisha...

Wezi sugu watumia watoto kutekeleza uhalifu Riruta

NA FRIDAH OKACHI WEZI sugu katika mitaa mbalimbali jijini Nairobi sasa wanatumia mbinu mpya ya kuwatumia watoto na vijana wa umri chini...

Uuzaji, usafirishaji makaa wadhibitiwa vikali Pokot Magharibi

NA OSCAR KAKAI NI marufuku kufanya biashara ya kuuza na kusafirisha makaa zaidi ya gunia moja kutumia pikipiki na magunia matatu kutumia...

Mwanamke azuiliwa kwa kupiga hadi kuua bintiye wa miaka 7

NA KEVIN MUTAI POLISI katika kaunti ndogo ya Lunga Lunga, Kwale wanachunguza kisa ambapo mwanamke wa umri wa miaka 30 alimpiga hadi...