NA OSCAR KAKAI TAHARUKI inaendelea kutanda kwenye mpaka wa kaunti za Pokot Magharibi na Turkana baada ya mvulana wa umri wa miaka 12...
NA LUCY MKANYIKA KATIKA miaka ya awali, Kaunti ya Taita Taveta ilikuwa ikilisha eneo la Pwani na maeneo mengine, kwa kutoa mazao safi kwa...
NA STEPHEN MUNYIRI WALEVI wanatoka Kaunti Kirinyaga wameanza kufurika katika baa na vilabu mjini Karatina, Kaunti ya Nyeri kukata kiu yao...
CHARLES WASONGA Na ANGELINE OCHIENG WATU wawili zaidi wameaga dunia kufuatia majeraha waliopata wakati wa ajali iliyotokea eneo la...
NA LUCY MKANYIKA BUNGE la Kaunti ya Taita Taveta limeunda kamati maalum ya kuchunguza madai ya ukiukaji wa maadili yanayomkabili Waziri...
NA KALUME KAZUNGU WAZEE kutoka jamii ya walio wachache ya Waboni, Kaunti ya Lamu sasa inadai kucheleweshwa kwa fidia ya vipande vyao vya...
NA BARNABAS BII TAHARUKI imegubika wakulima wa nafaka katika eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa kuhusiana na mpango maalum wa kukusanya...
NA GITONGA MARETE FAMILIA moja kutoka kijiji cha Ngeene, Kaunti ya Meru ilipata mshtuko baada ya kijana wa umri wa miaka 27 kuua mamake na...
NA SAMMY KIMATU MTU mmoja alikamatwa kwa kudaiwa kuendesha kituo haramu cha kuuza gesi akijua ni kinyume cha cheria na kuhatarisha...
NA FRIDAH OKACHI WEZI sugu katika mitaa mbalimbali jijini Nairobi sasa wanatumia mbinu mpya ya kuwatumia watoto na vijana wa umri chini...
NA OSCAR KAKAI NI marufuku kufanya biashara ya kuuza na kusafirisha makaa zaidi ya gunia moja kutumia pikipiki na magunia matatu kutumia...
NA KEVIN MUTAI POLISI katika kaunti ndogo ya Lunga Lunga, Kwale wanachunguza kisa ambapo mwanamke wa umri wa miaka 30 alimpiga hadi...