Tulibwagwa, Boga awaaminisha wafuasi wake

NA SIAGO CECE ALIYEKUWA Katibu wa Wizara ya Kilimo, Prof Hamadi Boga, hatimaye amevunja kimya chake tangu mahakama ilipothibitisha ushindi...

Dereva anayedaiwa kusababisha kifo cha polisi kushtakiwa

NA FARHIYA HUSSEIN DEREVA wa gari anayedaiwa kumburura afisa wa polisi barabarani hadi akafa Mombasa, huenda akashtakiwa kwa...

Serikali yajikokota kukamilisha ujenzi wa daraja la mbao kisiwani Dongokundu

NA ALEX KALAMA  TAKRIBAN wakazi 500 kutoka kisiwa cha Dogokundu kilichoko katika wadi ya Dabaso, Kaunti ya Kilifi, wanaiomba...

Chuo chafungwa wanafunzi wakidai kuvamiwa na jini

NA KALUME KAZUNGU MASOMO yalisitishwa katika Chuo cha Kiufundi cha Lamu jana Jumatatu, baada wanafunzi kuzua fujo iliyodaiwa kuchochewa na...

Barabara mbovu zakarabatiwa jijini Nairobi miezi michache baada ya NMS kumezwa

NA SAMMY KIMATU SERIKALI imeanza kukarabati barabara zaidi ya kumi zilizokwama mara tu Idara ya kutoa Huduma katika Jiji la Nairobi (NMS)...

Samburu walilia usalama majangili wakiendeleza mashambulio

NA GEOFFREY ONDIEKI MAJANGILI wanaendelea na mashambulio katika Kaunti ya Samburu, licha ya operesheni ya usalama ya kutafuta silaha...

Hasara wafanyabiashara wakibomoa vibanda kupisha mradi wa barabara, majitaka

NA SAMMY KIMATU WAFANYABIASHARA zaidi ya 50 waliobomoa vibanda vyao vya kuuzia bidhaa ili kupisha mwanakandarasi apate nafasi ya...

Maafisa wachunguza vifo vya wawili wanaodaiwa kujitoa uhai katika eneo la South B

NA SAMMY KIMATU MAAFISA wa upelelezi eneo la Makadara wanachunguza kisa ambapo mwanamke mwenye umri wa miaka 30 alifariki baada ya...

Watalii watatu wajeruhiwa katika mkasa wa moto hotelini Watamu

NA ALEX KALAMA  RAIA watatu wa kigeni wamejeruhiwa vibaya katika mkasa wa moto uliounguza hoteli tatu eneo la Watamu kaunti ya...

Uhaba wa maji mateso tele kwa wakazi vijijini

NA KALUME KAZUNGU WAKAZI wa Kizingitini, Kaunti ya Lamu, wamelalamikia uhaba wa maji kutokana na kiangazi kinachoendelea...

Mabaharia saba kubeba msalaba wa mlanguzi

NA WAANDISHI WETU MABAHARIA waliopatikana na hatia ya ulanguzi wa mihadarati ya Sh1.3 bilioni iliyopatikana kwenye meli Mombasa miaka tisa...

MCA ataka Mbarire aeleze hatima ya waliopewa likizo

NA GEORGE MUNENE DIWANI jana Jumanne alitaka maelezo kuhusu hatima ya maafisa wa serikali ya Kaunti ya Embu waliopewa likizo ya lazima...