• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:42 PM

Polisi amuua askari jela katika duka la pombe ya makali

NA EVANS JAOLA HALI ya wasiwasi ilizuka mjini Kitale, Jumanne jioni, baada ya polisi wa utawala wa kiwango cha konstebo kumpiga risasi...

Pokot Magharibi yamwaga kitita cha Sh600m kupiga jeki elimu

NA OSCAR KAKAI ZAIDI ya wanafunzi 44,000 wamenufaika na fedha za ufadhili wa elimu kwa hisani ya serikali ya Kaunti ya Pokot...

Boma la mpinzani wa Gavana Ken Lusaka lavamiwa

NA JESSE CHENGE POLISI katika Kaunti ya Bungoma wanachunguza kisa ambapo kundi la majambazi wasiojulikana walivamia boma la mwanasiasa...

Waziri Mvurya ahimiza Wanakwale kuchangamkia elimu kufukuza umaskini

NA KNA WAZIRI wa Madini, Uchumi wa Baharini na Ubaharia, Bw Salim Mvurya, amewataka wakazi wa Kwale kuichangamkia elimu na kuitambua...

Popo wafukuza wanajamii kutumia ukumbi wa Mkunumbi

NA KALUME KAZUNGU UKUMBI wa kijamii wa Mkunumbi ulioko Lamu Magharibi ulipojengwa mwaka 2013, furaha ilisheheni miongoni mwa wakazi ambao...

Sakaja aagiza pombe ya makali kuondolewa kwa steji za matatu

NA HILLARY KIMUYU GAVANA wa Nairobi Johnson Sakaja amemwagiza Afisa Mkuu wa Usalama katika Kaunti Tony Kimani, kuhakikisha kwamba maduka...

Mradi wa choo na Wi-Fi wapingwa Mukuru-Fuata Nyayo

NA SAMMY KIMATU MRADI wa serikali unaonuiwa kupiga jeki vijana kimapato na kufaidi zaidi ya watu 20,000 katika mtaa wa mabanda wa...

Mvulana auawa kwa kupigwa risasi na majangili Pokot Magharibi

NA OSCAR KAKAI TAHARUKI inaendelea kutanda kwenye mpaka wa kaunti za Pokot Magharibi na Turkana baada ya mvulana wa umri wa miaka 12...

Wakulima Taita Taveta kujinyanyua na mbolea nafuu, upimaji udongo

NA LUCY MKANYIKA KATIKA miaka ya awali, Kaunti ya Taita Taveta ilikuwa ikilisha eneo la Pwani na maeneo mengine, kwa kutoa mazao safi kwa...

Walevi Kirinyaga wafurika Nyeri baa zao zikifungwa

NA STEPHEN MUNYIRI WALEVI wanatoka Kaunti Kirinyaga wameanza kufurika katika baa na vilabu mjini Karatina, Kaunti ya Nyeri kukata kiu yao...

Walioangamia katika ajali Nyakach sasa ni tisa

CHARLES WASONGA Na ANGELINE OCHIENG WATU wawili zaidi wameaga dunia kufuatia majeraha waliopata wakati wa ajali iliyotokea eneo la...

Kamati yabuniwa kuchunguza madai dhidi ya waziri wa Ardhi Taita Taveta

NA LUCY MKANYIKA BUNGE la Kaunti ya Taita Taveta limeunda kamati maalum ya kuchunguza madai ya ukiukaji wa maadili yanayomkabili Waziri...