• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 8:55 PM

Bomoabomoa sasa zamfikia pia Askofu Margaret Wanjiru

NA NYABOGA KIAGE KANISA la Askofu Margaret Wanjiru wa Jesus is Alive Ministries limebomolewa kufuatia mzozo wa umiliki wa ardhi kati ya...

Ni Kiswahili kila Jumatano ndani ya Bunge la Mombasa

NA WINNIE ATIENO BUNGE la Kaunti ya Mombasa limepitisha mswada kuwa lugha pekee itakayotumiwa katika bunge hilo kila Jumatano ni...

Serikali yamsaidia mama mlemavu kurudisha mali ya Sh2m

NA SAMMY KIMATU SERIKALI imemsaidia mama mlemavu aliye na watoto sita kurejesha mali ya thamani ya zaidi ya Sh2 milioni iliyokuwa...

Watu watatu waangamia katika mkasa wa moto South B

NA SAMMY KIMATU WATU watatu walifariki katika kisa cha moto uliotokea Jumapili ambapo waliteketea kiasi cha kutotambulika kwa njia ya...

Wanaomiliki baa wahimizwa kushirikiana na polisi kudhibiti pombe haramu

NA WINNIE ONYANDO WANAOMILIKI vilabu na baa wameombwa kushirikiana na maafisa wa polisi ili kusaidia kudhibiti uuzaji wa pombe...

Kiwango cha umaskini Kilifi chazua hofu

NA MAUREEN ONGALA WADAU wa elimu Kilifi wameibua wasiwasi kuhusu umaskini uliokithiri wakisema unafanya baadhi ya wanafunzi wasiojiweza...

Baada ya bunduki za jeshi kushindwa wakazi wageukia maombi kupiga vita ujangili

NA OSCAR KAKAI KUFUATIA ongezeko la visa vya mauaji, uvamizi wa mara kwa mara na wizi wa mifugo katika eneo hatari lenye utata la Bonde...

Kindiki aonya polisi wanaoshirikiana na wahalifu

NA DAVID MUCHUI WAZIRI wa Usalama wa Ndani, Prof Kithure Kindiki, ameapa kuchukua hatua kali dhidi ya polisi wanaoshirikiana na wahalifu...

Wakulima wapinga bei ya mbolea ya gharama nafuu

NA SHABAN MAKOKHA WAKULIMA katika kaunti ya Kakamega wamekataa mbolea ya bei nafuu iliyotolewa na kaunti hiyo wakidai bidhaa hiyo inauzwa...

Kamati yapendekeza Mkongo aondolewe kwa uwaziri Taita Taveta

NA LUCY MKANYIKA KAMATI ya bunge la kaunti iliyopewa jukumu la kuchunguza sababu za kumwondoa madarakani waziri wa Ardhi Bi Elizabeth...

Mwanamume awindwa kwa kudaiwa kuua watoto wake watatu na mjakazi

NA VITALIS KIMUTAI POLISI Kaunti ya Bomet wanamsaka mwanamume mmoja ambaye inadaiwa aliwaua watoto wake watatu na mfanyakazi. Mwanamume...

Walio ‘sober’ wakatazwa kupigania rasilimali chache za kuwafaa waraibu

NA KALUME KAZUNGU UMARIDADI wa kituo cha kuwatibu waraibu wa dawa za kulevya, walevi wa pombe na uraibu mwingine katika Kaunti ya Lamu,...