• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 6:55 PM

Kilio cha wakulima wa miwa ikielekea kuozea shambani

NA VICTOR RABALLA WAKULIMA wa miwa sasa wanaitaka Mamlaka ya Kilimo na Chakula (AFA) kuamuru viwanda vya kutengeneza sukari kurejelea...

Maafa ya mwanamke ndani ya shamba la Kakuzi    

NA MWANGI MUIRURI UTATA umezuka kuhusu mauti ya Bi Agnes Njeri Mwaniki wa miaka 62 aliyefariki akiwa katika shamba la kampuni ya Kakuzi...

Wakenya kupata afueni zaidi matatu zikipanga kushusha bei  

NA CHARLES WASONGA UONGOZI wa Muungano wa Wamiliki wa Matatu Nchini (MOA) umedokeza kuwa unashauriana na wanachama wao kwa lengo la...

Wakenya wataka bei ya gesi ipunguzwe baada ya stima kushuka  

NA WANDERI KAMAU HATUA ya Kampuni ya Umeme Kenya (KP) kupunguza bei ya umeme kwa kiwango kikubwa, ni mwisho wa safari ya vilio vingi...

Bwanyenye adinda kufika kortini kujibu kesi ya wizi wa mafuta ya ndege

NA RICHARD MUNGUTI BWANYENYE Yagnesh Mohanlal Devani Jumatatu, Aprili 15, 2024 alikosa kufika kortini kwa mara ya tatu mfululizo wakati...

Afisa wa polisi anayetaka apewe kazi ya kuhubiria wenzake na vijana

NA RICHARD MUNGUTI AFISA wa Polisi ameisihi Mahakama ya Nairobi imruhusu aanze kuhubiria vijana na maafisa katika idara ya polisi...

Afueni KPLC ikishusha bei ya umeme kwa hadi asilimia 13.7

NA CHARLES WASONGA DALILI kwamba gharama ya maisha itaendelea kupungua katika siku za hivi karibuni imeonekana saa chache baada ya bei...

Makamu Chansela wa Chuo cha Kenyatta aenda likizo ya muda usiojulikana

NA LABAAN SHABAAN MAKAMU Chansela (VC) wa Chuo Kikuu cha Kenyatta (KU), Prof Paul Wainaina ameelekea likizo ya muda...

Wabunge wanaotishia kupiga kura kumtimua Linturi

NA JESSE CHENGE  KUNDI la wabunge chini ya muungano wa Azimio la Umoja na wengine kutoka UDA, limetangaza nia kutaka kumwondoa afisini...

Serikali kuajiri walimu 20,000 kwa shule za JSS

NA COLLINS OMULO SERIKALI itaajiri walimu 20,000 zaidi katika mwaka wa kifedha ujao kwa gharama ya Sh4 bilioni kupunguza kero ya uhaba wa...

Janga jipya la mafuriko

WINNIE ATIENO NA JURGEN NAMBEKA GAVANA wa Tana River Dhado Godhana, ameonya kuwa kaunti yake inakodolea janga lingine la mafuriko kufuatia...

Jinsi mshukiwa wa ulanguzi mihadarati kupitia wanafunzi wa kike alivyonyakwa

NA WINNIE ATIENO MAAFISA kutoka Idara ya Upelelezi wa Jinai na Uhalifu (DCI) wamemkamata mwanamume anayeshukiwa kuwa mhusika mkuu wa...