Azimio yawasilisha kwa mkuu wa polisi Nairobi barua ya kuandamana wiki ijayo

NA MWANDISHI WETU MUUNGANO wa Azimio Jumatano umewasilisha barua ya kuandamana mnamo Jumatatu na Alhamisi wiki ijayo, katika afisi ya...

Vitisho vya wazazi kwa walimu wakuu huchochea wizi wa mitihani – Ripoti

NA MERCY KOSKEI KUNA uwezekano kuwa shinikizo nyingi kwa walimu wakuu kuboresha matokeo kwenye Mtihani wa Kitaifa wa Kidato cha Nne...

Ruto kuzuru Kisii na mkoba wa vinono

NA RUTH MBULA RAIS William Ruto anatarajiwa kuzuru eneo la Gusii kwa mara ya kwanza tangu uchaguzi mkuu uliopita Ijumaa hii. Rais...

Mamaye mwanachuo aliyeuawa alaani unyama wa polisi

Na RUSHDIE OUDIA MAMA yake mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Maseno aliyeuawa Jumatatu wakati wa maandamano ya Upinzani, amesikitika na kusema...

Ruto, Gachagua na Mudavadi watengewa Sh802 milioni za kununua magari mapya

Na DOMINIC OMONDI RAIS William Ruto, Naibu wa Rais Rigathi Gachagua na Mkuu wa Mawaziri Musalia Mudavadi wametengewa Sh802 milioni kununua...

Mmoja afariki, 365 walazwa kwa kula nyama ya sumu

NA GEORGE MUNENE MTU mmoja amefariki huku wengine 365 wakikimbizwa hospitalini baada ya kula nyama ya ng’ombe anayedaiwa alikuwa akiugua...

Karua adai waliozua vurugu wakati wa maandamano ni wahuni wa UDA

NA SAMMY WAWERU KIONGOZI wa Narc-Kenya Martha Karua amenyooshea kidole cha lawama chama cha UDA kwa kile anadai kutumia wafuasi wake...

Raila – Askari walisababisha vifo vya wafuasi wetu wawili

NA SAMMY WAWERU WAANDAMANAJI wawili walifariki Jumatatu wakati wa maandamano ya Azimio la Umoja. Akizungumza Jumanne jijini Nairobi...

Viongozi wa UDA wataka Raila akamatwe, atiwe hatiani

NA CHARLES WASONGA WABUNGE na Maseneta wa muungano wa Kenya Kwanza sasa wanapendekeza kukamatwa na kushtakiwa kwa kiongozi wa upinzani...

Wito kwa wanahabari waangazie maswala muhimu kuhusu afya, malezi ya watoto

NA LAWRENCE ONGARO SHIRIKA la Kenya Aids NGO Consortium (KANCO) na idara ya afya ya umma zimejitolea kuangazia maswala ya watoto wa...

Polisi kuumiza raia wenye njaa ni kutia msumari moto kwenye kidonda – Mashirika

NA CHARLES WASONGA MASHIRIKA ya kijamii yamelaani vikali hatua ya maafisa wa polisi kutumia nguvu kupita kiasi wakati walikuwa...

Maandamano: Shughuli muhimu zasimama jijini Nairobi

NA SAMMY KIMATU SHUGHULI zimesimama siku nzima katikati mwa jiji huku Polisi wakiwa na mchezo wa paka na panya kuwatawanya...