• Nairobi
  • Last Updated May 30th, 2023 8:36 AM

Mahakama yatupa kesi ya Itumbi kuomba CASs waruhusiwe kuchapa kazi

NA RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA ya Rufaa Ijumaa imetupa kesi ya Bw Dennis Itumbi aliyeomba korti itoe maagizo ya kuruhusu Mawaziri Wasaidizi...

Ikulu kukosa stima siku nzima – Kenya Power

Na WANGU KANURI SHIRIKA la Umeme, Kenya Power lilitangaza kuwa hakutokuwa na stima Ikulu ya Rais kutoka saa tatu hadi saa kumi na moja...

Sumu kali ndani ya Mswada wa Fedha

JULIANS AMBOKO Na PETER MBURU WAMILIKI wa biashara ndogo kama vile mama mboga na wahudumu wa bodaboda ni miongoni mwa Wakenya...

Mswada wa Fedha wa 2023 kuchangia kupanda kwa bei ya unga – KAM

NA CHARLES WASONGA BEI ya unga inatarajiwa kuendelea kupanda ikiwa wabunge watapitisha Mswada wa Fedha wa 2023. Hii ni kufuatia pendekezo...

Mkongwe kutembea kilomita 300 kuadhimisha Madaraka Dei 2023 Embu    

NA MERCY KOSKEI MZEE wa miaka 69 kutoka Kaunti ya Nakuru amewashangaza wengi baada ya kufunga safari kwa miguu ili kuhudhuria sherehe ya...

Babu Owino aorodheshwa mbunge bora zaidi katika utendakazi

Na WANGU KANURI BABU OWINO, mbunge wa Embakasi Mashariki aliongoza orodha ya wabunge 20 walioratibiwa katika utendakazi wao miezi minane...

Shakahola: Kindiki afungua rasmi awamu ya pili ya upasuaji wa maiti

NA FARHIYA HUSSEIN WAZIRI wa Usalama wa Ndani Prof Kithure Kindiki mnamo Alhamisi amefungua rasmi awamu ya pili ya shughuli ya upasuaji...

Shakahola: Awamu ya pili ya upasuaji maiti yaanza leo Alhamisi

NA ALEX KALAMA AWAMU ya pili ya upasuaji wa maiti za wahanga wa imani potovu inatarajiwa kuanza leo Alhamisi katika mochari ya Hospitali...

Mudavadi awasihi mahasla wavumilie ushuru wa juu

NA PHILIP MUYANGA KINARA wa Mawaziri Musalia Mudavadi (pichani) mnamo Jumatano aliwataka Wakenya wawe wavumilivu na kuridhia kuongezewa...

Mabilioni kuungua Huduma ikitemwa

NA BENSON MATHEKA SERIKALI itatumia mabilioni kuanzisha kitambulisho cha kidijitali cha kitaifa hata kabla ya kadi ya Huduma Namba...

Maina Njenga afikishwa mahakamani akidaiwa kuhusika na vitendo vya uhalifu

NA JOSEPH OPENDA ALIYEKUWA kiongozi wa kundi lililopigwa marafuku la Mungiki, Maina Njenga amefikishwa katika Mahakama ya Nakuru leo...

Idadi ya waliofariki Shakahola yasalia 240 upasuaji maiti ukisogezwa hadi Alhamisi

NA ALEX KALAMA MAAFISA wanaosimamia operesheni ya kuwatafuta manusura waliosalia ndani ya msitu wa Shakahola na ufukuaji wa makaburi...