NA JOSEPH OPENDA BAADHI ya mawakili wanawatesa na kuwahangaisha waathiriwa wanyonge wa ajali kwa kuwapokonya fidia kutoka kwa kampuni za...
FRIDAH OKACHI Na WINNIE ONYANDO WATEJA wa bidhaa mtaani Kawangware, Nairobi wameanza kuhepa masoko yenye uvundo huku wauzaji wakiomba...
NA RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Kampuni ya Pelikan Signs Limited inayochora alama za barabarani, ameshtakiwa kughushi wosia wa mmiliki wa...
NA BRIAN OCHARO MSHUKIWA wa uhalifu aliyekamatwa akiwa na pingu amekanusha mashtaka na kuachiliwa kwa dhamana ya Sh600,000. Bw Salim Muya...
NA MWANGI MUIRURI ALIYEKUWA gavana wa Murang’a Mwangi wa Iria, mke wake Bi Jane Waigwe na aliyekuwa Kamishna wa Murang’a Bw Patrick...
NA MASHIRIKA KUALA LUMPUR, MALAYSIA WATU 10 wameaga dunia baada ya helikopta mbili kugongana hewani wakati wa maandalizi ya hafla moja ya...
NA LAWRENCE ONGARO WAFANYABIASHARA na wanakijiji cha Kiganjo wapatao 1,000 waliandamana Jumatatu wakidai wananyanyaswa na askari (kanjo)...
NA FLORAH KOECH SAA mbili asubuhi mnamo Jumapili, vijana zaidi ya 20 kutoka Kanisa la Kabukoki Revival lililoko Salabani, Baringo...
Na JUSTUS OCHIENG KATIBU Mkuu wa Muungano wa Vyama vya Kutetea Masilahi ya Wafanyakazi (COTU), Francis Atwoli, leo ameitisha mkutano...
NA RICHARD MUNGUTI DAKTARI amehukumiwa kifungo cha miaka 12 jela, kwa kuwa mwanachama wa kundi la kigaidi. Dkt Mohamed Abdu Ali,...
NA OSCAR KAKAI CHEPURAI Ng’oletiang, mwenye umri wa miaka 45, mama wa watoto watano alikuwa kwenye shughuli ya kuandaa chamcha majira...
HASAK, SYRIA NA MASHIRIKA ROKETI zilirushwa Jumapili jioni kutoka kaskazini mwa Iraq katika kambi ya kijeshi nchini Syria inayohifadhi...