• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 11:55 AM

Je, unajua kwa nini bei ya kitunguu haikamatiki saa hii?

SOPHIA WANJIRU NA WANDERI KAMAU BEI ya vitunguu imepanda mjini Nyeri kutokana na kupungua kwa mavuno ya zao hilo. Hali hiyo imetajwa...

Viongozi wa Kiislamu wahimiza serikali kutendea haki madaktari

NA TITUS OMINDE VIONGOZI wa Kiislamu kutoka eneo la North Rift wameihimiza serikali ya kitaifa kuangazia matakwa ya madaktari ili...

Ukatili: Mwanaharakati wa LGBTQ alinyongwa hadi kufa  

NA TITUS OMINDE MWANAPATHOLOJIA Mkuu wa Serikali, Dkt Johansen Oduor mnamo Jumanne, Aprili 9, 2024 aliambia Mahakama Muu mjini Eldoret...

Mwindaji ageuka mwindwa: Afisa wa DCI akamatwa akiitisha hongo

NA CHARLES WASONGA AFISA wa Upelelezi wa Jinai na Uhalifu (DCI) Jumatano, Aprili 10, 2024, alikamatwa na maafisa wa Tume ya Maadili na...

Aliyekuwa Naibu Kamishna ashangaa kugeuzwa ‘mahabusu’ kwa ulaghai wa shamba la mabilioni  

NA RICHARD MUNGUTI KUSIKIZWA kwa kesi ya ulaghai wa shamba la Sh1.35 bilioni dhidi ya aliyekuwa Naibu Kamishna wa Nairobi, Davis Nathan...

Kisii yaruhusiwa kukusanya ushuru Keroka

NA RUTH MBULA SERIKALI ya Kaunti ya Kisii imepata ushindi wa awamu ya kwanza baada ya majaji wa Mahakama ya Rufaa walioketi Kisumu...

Wavuvi washauriwa kutumia vyema fidia ya Sh1.7b wakilipwa

NA KALUME KAZUNGU WAVUVI walioathiriwa na ujenzi wa Bandari ya Lamu wameshauriwa kutumia vyema fidia watakazopokea kutoka kwa Serikali ya...

Zuma sasa huru kuwania urais licha ya hukumu ya uhalifu

PRETORIA, AFRIKA KUSINI NA MASHIRIKA RAIS wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma yuko huru kugombea katika uchaguzi mkuu wa mwezi Mei...

Ukabila wachacha katika kaunti kuajiri wafanyakazi – Ripoti

NA ERIC MATARA KAUNTI 30 zimemulikwa kwa kukosa kutimiza usawa wa kikabila katika kuajiri wafanyakazi wake, kulingana na ripoti mpya...

Omtatah ashikana na maseneta 21 kurudi kortini kujaribu kuangusha tena Ushuru wa Nyumba

Na RICHARD MUNGUTI SENETA Okiya Omutatah na maseneta wengine 21 wamerudi tena mahakama kukabana koo na Rais William kuhusu sheria ya...

Mfanyabiashara aduwaza Bunge kukiri hakujua kilichokuwa kwa magunia aliyouza kama mbolea

COLLINS OMULO NA WANDERI KAMAU MMILIKI wa kampuni iliyopigwa marufuku kwa kusambaza mbolea ghushi nchini, jana aliwashangaza wabunge...

Ruto ataka makanisa yashirikiane na serikali kukabili maovu katika jamii

WANDERI KAMAU NA PCS RAIS William Ruto amesema kuwa Serikali na mashirika ya kidini yana jukumu la pamoja kushirikana...